Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Labda mtaa wa Lumumba ndio hawamuelewi lakini mungu amemjaalia Lissu kuyaongelea yale yanayowagusa watanzania.ni vyema akasema anachotaka! anataka kugombea 2020 au ni nini? ni kama vile anatumika na watu fulani kinyume na maslai ya watanzania
asidanganyike na comments za watu wachache humu jf, mtaani watu hawamuelewi especially hio speech yake ya mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app