Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,840
- 32,628
Andaki?Andaki lipo ikulu tu...
Andaki?Andaki lipo ikulu tu...
Ni hasira mkuu sio kosa langu " spendi unyanyasaji unaofanywa"Kiingereza cha hapa na pale.
Haya, sawa.Ni hasira mkuu sio kosa langu " spendi unyanyasaji unaofanywa"
Ngoja siku kikiwaka ndo utajua jina lake vizuri na umuhimu wake.endeleeni kuchezea amani.Andaki?
Kimeshawaka kwa kamanda mwanasheria msomi nguli rais wa TLS, Tundu Lisu. Yupo selo kwa sasa anakunywa uji na maharage kwa kuchezea amani.Ngoja siku kikiwaka ndo utajua jina lake vizuri...
️Mm naona kimewaka ikulu jamaa halali mpk lissu awe lock upKimeshawaka kwa kamanda mwanasheria msomi nguli rais wa TLS, Tundu Lisu. Yupo selo kwa sasa anakunywa uji na maharage kwa kuchezea amani.
Huu ni ushabiki tu serikali gani iko bize na Lisu labda useme Polisi ndio wako bize na LisuKama matoto.serikali wanashndwa kufatilia ishu za msingi wanakuwa bize na kina tundulisu kisa wanasema ukweli.aibu tanzania ata wajukuu zetu wata kuja kushangaa tunayo ya fanya
Huo ni mtazamo wako. Lakini itakuwa vizuri zaidi kama utakwenda selo kumpelekea uji huyo mwanasheria msomi nguli rais wa TLS Tundu A. Lisu.Mm naona kimewaka ikulu jamaa halali mpk lissu awe lick up
SawaKimeshawaka kwa kamanda mwanasheria msomi nguli rais wa TLS, Tundu Lisu. Yupo selo kwa sasa anakunywa uji na maharage kwa kuchezea amani.
Naona unaanza kuandika insha wakati kamanda anaendelea kusota selo. Sijui kama itasaidia sana.
Atanyooka tu.
labda kwa sheria za kisukuma lakini za mzungu atatoka.Atanyooka tu.
Labda wamtafutie kesi nyingne lkn hyo alikuwa anatoa maoni yake binafsi make hakuna aliyechochewa hapolabda kwa sheria za kisukuma lakini za mzungu atatoka.
Junk state!!Wanazidi kuumbuka " if you look at magufuli speech kila siku anaongea same shit if u look at polisi kila siku wanafanya same vioja if u look at those idiots supporting huu ukandamizaji njaa zinaongezeka" tanzania is a loosing nation na i pray for the worse ili akili ziwakae sawa.
Mbona umekomaa sana na Lisu mkuu!