Polisi: Lissu hatoki

Polisi: Lissu hatoki

Lema anawasalmia hv kaja dar au anaogopa
Kip it ap MNYIKA Na Mdee

Msjali atatoka
 
Kama matoto.serikali wanashndwa kufatilia ishu za msingi wanakuwa bize na kina tundulisu kisa wanasema ukweli.aibu tanzania ata wajukuu zetu wata kuja kushangaa tunayo ya fanya
Huu ni ushabiki tu serikali gani iko bize na Lisu labda useme Polisi ndio wako bize na Lisu
 
Mm naona kimewaka ikulu jamaa halali mpk lissu awe lick up
Huo ni mtazamo wako. Lakini itakuwa vizuri zaidi kama utakwenda selo kumpelekea uji huyo mwanasheria msomi nguli rais wa TLS Tundu A. Lisu.
 
Wanazidi kuumbuka " if you look at magufuli speech kila siku anaongea same shit if u look at polisi kila siku wanafanya same vioja if u look at those idiots supporting huu ukandamizaji njaa zinaongezeka" tanzania is a loosing nation na i pray for the worse ili akili ziwakae sawa.
Junk state!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom