Polisi kutohangaikia wizi wa simu

Jul 25, 2020
65
125
Ninaomba kufahamu jambo kidogo kwanza Serikali iliamua kudhibiti simu fake ambazo walidai zinakuwa na IMEI zaidi ya moja na rahisi kubadilisha IMEI wakati wa kuifuatilia ajabu ni kwamba inakuwa kazi kwa sasa wao Polisi kushughulikia simu zinazoibiwa licha ya kuwa mtu anakuwa na IMEI na nyaraka zote kuwezesha kuifatilia cha kusangaza simu pekee wanazoweza kufuatilia zikiibiwa ni za Viongozi na au watu wao wa karibu na ambazo ama zimetenda kosa kubwa hasa la mtu wa mlengo Tofauti.

Swali langu:

1) Huu wizi unakua sana je wezi wana baraka za Vyombo husika kiasi kwamba hawogopi kuiba simu watakamatwa?

2) Polisi wanapuuzia hii kazi ya kuzifuatilia simu za wizi kwa sababu gani?

3) Kwanini wanamzungusha sana mtu aliyeibiwa linapokuja swala la kufuatilia simu yake?

4) Kwanini simu inakuwa inaibiwa na mwizi anaitumia unawaambia Polisi simu iko hewani anatumia ndugu sms wanashindwa kuipata?

Mjumbe hauwawi - Naomba Jamii admin msiichanganye post yangu kwenye thread ndeefu kama Comment itashindwa kusomwa.
 
Ni Kama nida, wamepewa jukumu la kututengenezea na kutupa vitambulisho, lakini Kama hukuona Cha kwako serikali ya mtaa, inabidi utoe rushwa ili upate kitambulisho .

Vivyo hivyo na polisi, wamepewa jukumu la kufuatilia simu za watu na kudhibiti wizi, lakini watataka uwape rushwa ili wakufanyie jukumu lako.

Ndo ujue ni jinsi gani nchi yetu Ni ya ovyo.
 
Ni Kama nida, wamepewa jukumu la kututengenezea na kutupa vitambulisho, lakini Kama hukuona Cha kwako serikali ya mtaa, inabidi utoe rushwa ili upate kitambulisho .
Vivyo hivyo na polisi, wamepewa jukumu la kufuatilia simu za watu na kudhibiti wizi, lakini watataka uwape rushwa ili wakufanyie jukumu lako.
Ndo ujue ni jinsi gani nchi yetu Ni ya ovyo.
Kwa utafiti wangu mdogo wenye ushahidi ni kwamba askari ukisha wambia umeibiwa simu basi jua umewapa dili maana watacho fanya ni kukuomba taarifa za hiyo simu na Tsh.50,000/- halafu wao wakiwa peke yao watamtafuta mwizi kimya kimya watampa vitisho kwamba hiyo simu iliibiwa na vitu vingine vikubwa au aliye iba alibaka nk

Baada ya hapo wakisha mtisha mwizi watampiga hela tena ndefu tu. kimya kimya maana huwa wanasema kwenye dili kama hilo hela nzuri ipo kwa mwizi nasio kwa mlalamikaji baada ya hapo wanamalizana halafu wewe uliye enda kupeleka mashtaka yako utapigwa kalenda hadi ukate tamaa

Hakuna watumishi ambao ni wezi,hawaaminiki na wala rushwa kama askari polisi wa tanzania

Nilicho kiandika hapo nina hakika nacho 100%

NB :ukiibiwa simu bora utumie wataalamu wengine kuipata na kamwe usiwategemee kabisa polisi wetu hawa waka rushwa wakubwa.

nakumbuka niliibiwa simu nilimtumia dogo mmoja hivi mtaalamu wa maswala ya cyber ila sio askari na aliniomba E-mail tu ingawa alinitaka na risiti au box la simu ili ajiridhishe uhalali wa umiliki wangu

lakini alisema E-mail peke yake inatosha hata angebadili IMEI simu itapatikana na kweli tiliipata mtwara mikindani kwa mfanya biashara wa duka la vyombo akatulipa gharama zote na nauli juuu na usumbufu wote akatulipa tukaachana nae kiroho safi maana hatukwenda kwa hasara.
 
Kwa utafiti wangu mdogo wenye ushahidi ni kwamba askari ukisha wambia umeibiwa simu basi jua umewapa dili maana watacho fanya ni kukuomba taarifa za hiyo simu na Tsh.50,000/- halafu wao wakiwa peke yao watamtafuta mwizi kimya kimya watampa vitisho kwamba hiyo simu iliibiwa na vitu vingine vikubwa au aliye iba alibaka nk

Baada ya hapo wakisha mtisha mwizi watampiga hela tena ndefu tu. kimya kimya maana huwa wanasema kwenye dili kama hilo hela nzuri ipo kwa mwizi nasio kwa mlalamikaji baada ya hapo wanamalizana halafu wewe uliye enda kupeleka mashtaka yako utapigwa kalenda hadi ukate tamaa

Hakuna watumishi ambao ni wezi,hawaaminiki na wala rushwa kama askari polisi wa tanzania

Nilicho kiandika hapo nina hakoka nacho 100%
Kongole ndugu polokwane kwa kuandika ukweli na uhalisia.

TanPol ni "majambazi wenye sare".
 
Kutrack simu mi Gharama, wape hela , chap tuu unaipata..na hapo uunganishwe na kitengo cha cybercrime..no free lunch
Kulipia wala sio issue niko na hela issue ni unaweza kuwapa hela na simu usipate wakampata mwizi na simu wakabaki nayo ukawa umepoteza vitu vyote nadhani uwajibikaji kwa raia ndio hawana ni mpaka iwe simu ya kiongozi imeibwa labda
 
Kongole ndugu polokwane kwa kuandika ukweli na uhalisia.

TanPol ni "majambazi wenye sare".
Asante kwa ufafanuzi mzuri nadhani hili ndio liko natamani Jamii Forum wapost kwenye social media zao huenda polisi wakalifanyia kazi au hata wakubwa wa polisi wakawekea mkazo. maana msimu wa sikukuu watu wameibiwa sana simu wengi mno na watu wana imei na risiti zao simu za bei bora hata waseme lipia 100000 ila iwe uhakika kuipata si mbaya.
 
Ni Kama nida, wamepewa jukumu la kututengenezea na kutupa vitambulisho, lakini Kama hukuona Cha kwako serikali ya mtaa, inabidi utoe rushwa ili upate kitambulisho .
Vivyo hivyo na polisi, wamepewa jukumu la kufuatilia simu za watu na kudhibiti wizi, lakini watataka uwape rushwa ili wakufanyie jukumu lako.
Ndo ujue ni jinsi gani nchi yetu Ni ya hovyo.
Daah inaumiza sana ukifikiria haya mambo na ukiyasema wazi watataka kukutafuta wakukamate kwanini unasema hawawajibiki katika kazi zao
 
Kutrack simu mi Gharama, wape hela , chap tuu unaipata..na hapo uunganishwe na kitengo cha cybercrime..no free lunch
Mimi huwa nazipenda Iphone kwa sababu mwizi akiiba hawezi kuuza kwa bei nzuri. Sana sana auzie mafundi kwa bei ndogo wachukuwe spares. Anyways japo hutaipata simu hivyo hasara iko pale pale lakini na mwizi naye anaambulia kidogo.
 
Ninaomba kufahamu jambo kidogo kwanza Serikali iliamua kudhibiti simu fake ambazo walidai zinakua na imei zaidi ya moja na rahisi kubadilisha imei wakati wa kuifuatilia ajabu ni kwamba inakuwa kazi kwa sasa wao Polisi kushughulikia simu zinazoibiwa licha ya kuwa mtu anakua na imei na nyaraka zote kuwezesha kuifatilia cha kusangaza simu pekee wanazoweza kufuatilia zikiibiwa ni za Viongozi na au watu wao wa karibu na ambazo ama zimetenda kosa kubwa hasa la mtu wa mlengo Tofauti.

Swali langu:

1) Huu wizi unakua sana je wezi wana baraka za Vyombo husika kiasi kwamba hawogopi kuiba simu watakamatwa?

2) Polisi wanapuuzia hii kazi ya kuzifuatilia simu za wizi kwa sababu gani?

3) Kwanini wanamzungusha sana mtu aliyeibiwa linapokuja swala la kufuatilia simu yake?

4) Kwanini simu inakuwa inaibiwa na mwizi anaitumia unawaambia Polisi simu iko hewani anatumia ndugu sms wanashindwa kuipata?

Mjumbe hauwawi - Naomba Jamii admin msiichanganye post yangu kwenye thread ndeefu kama Comment itashindwa kusomwa.
Polisi kazi yao ni kuratibu wizi wa kura ili CCM iendelee kubaki madarakani hayo mengine unayotaja siyo majukumu yao
 
Back
Top Bottom