Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Umeshawahi kujiuliza vipi polisi wanaweza kupata taarifa ya kichaa kilichoibiwa .
Siku izi kesi zimekua nyingi za wizi wa simu Yani zimekua kha kesi za utapeli nyingi mnoo..!!
Uzi ni wako
Polisi wanapataje taarifa za Simu yako ikiwa umeibiwa au kupotea maana wapwa mnapenda kujuzwa...!!!!
Unapoenda kutoka taarifa ya kifaa chako kimeibiwa polisi watataka risiti uliyonunulia na taarifa za kifaa chako ukiwa huna basi jua utapigwa kalenda inshu yako mpaka ukome labda huwe uko vizuri zaidi.
Ikiwa Simu itaibiwa basi Kuna kitu kinaitwa IMEI number international mobile equipment identity. Ni namba za kipekee Katika Kila kifaa Cha Simu ambacho hakiwezi kufanana na kifaa chengine.
Polisi wao huchukua IMEI namba kisha wanaangalia kwenye database kupitia operator mbalimbali nchini ambao ni tigo voda, Airtel, halotel na nk.
Watoa huduma wa mitandao mbalimbali huweza kuwapa taarifa polisi kuhusu namba ya simu ya kifaa kilichoibiwa, SMS anazo chati na watu, location pamoja na call logs zake anazopiga au kupigiwa.
Yaani hata kama ukibadilisha line ukiweka nyingine uka format simu basi wao polisi kupitia IMEI namba wataweza kupata taarifa zako.
Polisi wao wanaangalia namba zako muhimu unazotumia kuwasiliana na watu Kisha wao wanaanza kuwasumbua ndugu jamaa au rafiki zako kwa namna yoyote ile mpaka wakupate pia ukiwa online wanajua eneo ulilopo basi wanakutimbia.
Polisi wao wanashirikiana na watoa huduma mbalimbali za Simu kuweza kupata taarifa za kifaa kilichopotea ndipo mtuhumiwa anadakwa kwa style hiyo.
Umeshawahi kuibiwa simu, hebu tuambie ulichukua hatua Gani kuipata ? Usisahau kushare kwa wengine wajifunze nasi.
Teknolojia ni Yetu sote
Siku izi kesi zimekua nyingi za wizi wa simu Yani zimekua kha kesi za utapeli nyingi mnoo..!!
Uzi ni wako
Polisi wanapataje taarifa za Simu yako ikiwa umeibiwa au kupotea maana wapwa mnapenda kujuzwa...!!!!
Unapoenda kutoka taarifa ya kifaa chako kimeibiwa polisi watataka risiti uliyonunulia na taarifa za kifaa chako ukiwa huna basi jua utapigwa kalenda inshu yako mpaka ukome labda huwe uko vizuri zaidi.
Ikiwa Simu itaibiwa basi Kuna kitu kinaitwa IMEI number international mobile equipment identity. Ni namba za kipekee Katika Kila kifaa Cha Simu ambacho hakiwezi kufanana na kifaa chengine.
Polisi wao huchukua IMEI namba kisha wanaangalia kwenye database kupitia operator mbalimbali nchini ambao ni tigo voda, Airtel, halotel na nk.
Watoa huduma wa mitandao mbalimbali huweza kuwapa taarifa polisi kuhusu namba ya simu ya kifaa kilichoibiwa, SMS anazo chati na watu, location pamoja na call logs zake anazopiga au kupigiwa.
Yaani hata kama ukibadilisha line ukiweka nyingine uka format simu basi wao polisi kupitia IMEI namba wataweza kupata taarifa zako.
Polisi wao wanaangalia namba zako muhimu unazotumia kuwasiliana na watu Kisha wao wanaanza kuwasumbua ndugu jamaa au rafiki zako kwa namna yoyote ile mpaka wakupate pia ukiwa online wanajua eneo ulilopo basi wanakutimbia.
Polisi wao wanashirikiana na watoa huduma mbalimbali za Simu kuweza kupata taarifa za kifaa kilichopotea ndipo mtuhumiwa anadakwa kwa style hiyo.
Umeshawahi kuibiwa simu, hebu tuambie ulichukua hatua Gani kuipata ? Usisahau kushare kwa wengine wajifunze nasi.
Teknolojia ni Yetu sote