Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Polisi jamii is not the same as sungu-sungu, but they are a like.
Tofauti yao ni kuwa Police Jamii ni mfumo uliobuniwa na Police na kutambulishwa kwa raia wakati sungusungu ni mfumo ulionzishwa na raia, wakajijengea taratibu za namna ya kuundesha.
Kwa upande wa malipo sidhani kama kuna utaratibu wowote wa maana unaotumika, labda kama watendaji wa kata wanahusishwa katika sualla hilo la malipo yao ndiyo litawezekana.
Tofauti yao ni kuwa Police Jamii ni mfumo uliobuniwa na Police na kutambulishwa kwa raia wakati sungusungu ni mfumo ulionzishwa na raia, wakajijengea taratibu za namna ya kuundesha.
Kwa upande wa malipo sidhani kama kuna utaratibu wowote wa maana unaotumika, labda kama watendaji wa kata wanahusishwa katika sualla hilo la malipo yao ndiyo litawezekana.