Polisi jamii wanalipwa na nani?

Polisi jamii wanalipwa na nani?

jibu ni rahisi tu The Boss, wanalipwa na wanaowakamata...inatia kinyaa sana hii nch, polisi hewa, wanaanzsha vkundi hewa, kufanya kazi hewa..haiwezekani, kutengeneza kundi la "wahuni" tena wenye njaa, wasiokuwa na kazi eti wawe "polisi jamii" huu ni ujnga na kujarbu kuwahadaa vjana kwamba umewapa ajira.. Mtu ni polisi jamii hana ktambulsho chochote zaidi ya tisheti aliyovaa. Nguo znatambulsha nin jaman??? Ingekuwa hvo mjomba wangu juzi asngekamatwa anapga kazi ile na yunifomu zake.. Alaaah! Najua mtasema vtambulsho pia vnatengenezeka lakini vkiwa kwa ustadi flan vnapunguza uchakachuaji.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom