Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
intelijensia isiyokuwa na intelijensi
qualification ya kuajiliwa Polisi tanzania ni Division Four yenye pointi 28 ambayo ni sawa na Division Zero na sawa na darasa la saba. Mtu mwenye elimu ya kiwango hicho anaweza akajua hata maana ya intelijensia?