Polisi akatwa mkono katika ugomvi wa kugombea mwanamke

Huna uzalendo hii ishu ilipaswa uipigie kelele utawala wa sheria hakunaga kwani TZ hivi kila mtu akiamua kusettle dispute kwa kukata mikono si tutakuwa walemavu wote Disgrace kabisa kwa wakenya wewe!

Kuna mengine ya kujitakia, yaani unikuchukulie mke halafu uvuke mpaka kutoka kwenu huko Tanzania uje hadi hapa Kenya kupambana na mimi katika nchi yangu.
Huyo jamaa japo ni Mkenya mwenzangu lakini kwa hili simtetei maana kafuata majanga mwenyewe. Mimi ukinichuklia mke nakuacha uishi naye maana amekufuata kwa akili zake akiwa mtu mzima.
 
Kuna mengine ya kujitakia, yaani nikuchukulie mke halafu uvuke mpaka kutoka kwenu huko Tanzania uje hadi hapa Kenya kupambana na mimi katika nchi yangu.
Huyo jamaa japo ni Mkenya mwenzangu lakini kwa hili simtetei maana kafuata majanga mwenyewe. Mimi ukinichuklia mke nakuacha uishi naye maana amekufuata kwa akili zake akiwa mtu mzima.
Mmmh!Unampenda kweli mke wako au ndo basi mnaishi tu!
 
Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Tarime-Rorya, linawashikilia watu wawili wakazi wa Mtaa wa Nkende mjini Tarime wakidaiwa kumkata mkono Mkaguzi wa Polisi wa Kituo cha Ngamba Tana-River cha nchini Kenya, James Mnuve (50), wakati wakimgombania mwanamke.

Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, SACP Henry Mwaibambe, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo la kukatwa mkono Mkaguzi huyo wa Polisi wa nchini Kenya.
Mwaibambe alidai kuwa tukio hilo lilitokea Julai 13 mchana katika mtaa wa Nkende mjini Tarime ambapo vijana hao walitenda kosa hilo.

Aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Michael Omahe, anayedaiwa kumtorosha mwanamke huyo, Anne Njeri, kutoka Kenya na kumleta Tanzania kisha kuishi naye kinyumba huku akisaidiana na rafiki yake, Daniel Onchiri.

“Mwanamke huyo (Njeri) anadaiwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi pia na askari James Mnuve na walikuwa wakiishi huko Tana River nchini Kenya, baada ya kuondoka, Julai 13 mchana askari huyo alimfuatilia kutoka Kenya hadi Mtaa wa Nkende, Tarime alipokuwa anaishi na kijana aliyemtorosha (Michael Omahe),” alisema Kamanda.

Akaongeza, “Alipofika Mtaa wa Nkende alimkuta Michael, pamoja na rafiki yake huyo wakiwa na mwanamke huyo na hapo ndipo ugomvi ulipoanza kwani askari James alitaka kuondoka na mwanamke huyo na zikazuka vurugu kubwa na kusababisha Mnuve kukatwa kwa kutumia panga.”

Aidha Kamanada huyo alisema kuwa, “Jeshi la Polisi tulifika kwenye eneo la tukio mapema na kuweza kuwakamata watuhumiwa wote watatu; Marandi, Ochiri na mwanamke huyo na kisha tukawahoji kabla ya kuwafikisha mahakamani huku majeruhi akiwa amepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime kwa matibabu.”

Majeruhi James anadai kuwa yeye ni Inspekta wa Polisi wa Kituo cha Ngamba Tana River nchini Kenya na mwanamke huyo, Njeri Wanjoi, ni mke wake.

Chanzo:
Mpekuzi
Akatwe tu maana hakuna namna nyingine...tumechoka. Kama ni mke wake mbona hana cheti cha ndoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona
Nampenda mke wangu tena mapenzi ya dhati na nina wivu hadi balaa lakini siku akiachia aliwe na jitu lolote ndio basi. Kuharibu sana eti anakwenda kuishi na mwanaume mwengine halafu analiwa kila siku.
hakiishi kituhapo Mkuu?
 
Bila ya shaka mwanamke huyu papuchi yake ni tamu kupita kiasi mpaka jamaa akaamua kuingia Tanzania kuanzisha varangati sasa imekula kwake.
 
Back
Top Bottom