Kwa kutambaa na tumbo,kwa kutembea kwa mguu,kwa mwendo wa mbwa hakika cdm kesho watawapokea wabunge mashujaa.bodaboda kuzikamata ni upuuzi tu.watu walipiga mguu toka mahakama kuu mpaka kimara ofisi ya jimbo la ubungo siku ya ushindi wa kesi ya kamanda mnyika,leo wanatumia mbinu dhaifu ya kukamata bodaboda.no sense