Police na Njama kuzuia maandamano makubwa kesho

gost

JF-Expert Member
Dec 31, 2012
275
135
Nipo maeneo ya quality centre msafara mkubwa wa pikipiki na bajaji na escort mbele na nyuma huku wakipiga makelele na honi wakieleke police post ina semekana ni piki piki za tazara mpaka temeke zakamatwa ili kupunguza maandamano ya kesho . Hakuna kulala mpaka kieleweke hata kwa migu tutakuja na tutajaa
 
Nipo maeneo ya quality centre msafara mkubwa wa pikipiki na bajaji na escort mbele na nyuma huku wakipiga makelele na honi wakieleke police post ina semekana ni piki piki za tazara mpaka temeke zakamatwa ili kupunguza maandamano ya kesho . Hakuna kulala mpaka kieleweke hata kwa migu tutakuja na tutajaa

Ahsante!!
 
Maandamano ya kudai nini,na ya chama gani?

Muulize mleta uzi!!
But zaidi zaidi soma gazeti la leo la tanzania daima!!
Hata hivyo kuna uzi humu ndani iliyoletwa na mh. molemo kuhusu hayo maandamano!!
Ila ninachofahamu kidogo ni kuwa, jana chadema kupitia kwa mkurugenzi wao wa organization na mafunzo bw. benson kigaila aliongea na waandishi wa habari kuwa kesho j2 kutakuwa na maandamo utakaoanzia ubungo kupitia tazara hadi temeke na hatimae mkutano wa hadhara hapo temeke. Akasema wamewaandikia barua viongozi wote wa vyama vya upinzani kuhudhuria maandamo hayo na huo mkutano, kwa kuwa yanahusu kulaani unyanyasaji unaofanywa na kiti cha spika katika kuwanyamazisha wapinzani katika kutetea maslahi ya watz; wabunge wa upinzai wanadai kuwa kiti cha spika kinaangalia maslahi ya ccm na serikali yake wala hainagalii tena maslahi ya wanachi wake. Hata hivyo cuf wamesusia ila nccr mageuzi wamekubali huo mwaliko
Ahsante!!
 
Huyo ni kauzu anajua ni maandamano ya nini lakini kwakuwa ni wa pande ile anajifanya hajui!

Mkuu unanihukumuje eti mi ni upande fulani! Niliwahi kukuambia au ulinipa kadi no ngapi? Any way,hayo maandamano ya kupinga kutumiwa na ccm,ni kina nani wanaotumiwa na ccm?
 
Mkuu unanihukumuje eti mi ni upande fulani! Niliwahi kukuambia au ulinipa kadi no ngapi? Any way,hayo maandamano ya kupinga kutumiwa na ccm,ni kina nani wanaotumiwa na ccm?

Speaker na Naibu wake.
Mkutano wa Bunge sio wa CCM
Over
 
Akh!Ni kawaida yao hao kuogopa bike wakishasikia kuna issue za Ma-people.,uzuri ni kwamba tushawajua hawafanyi kazi kama maadil yao yanavyowataka bali wamesusia wananchi na kujipachika U-polccm.UZURI ZAIDI NI KWAMBA YOTE HAYASAIDII KWANI MITI YOTE YATELEZA LAZIMA NYANI ADONDOKE NA KUFA.
 
Mkuu unanihukumuje eti mi ni upande fulani! Niliwahi kukuambia au ulinipa kadi no ngapi? Any way,hayo maandamano ya kupinga kutumiwa na ccm,ni kina nani wanaotumiwa na ccm?

Speaker na Naibu wake.
Mkutano wa Bunge sio wa CCM
Over
 
Mkuu unanihukumuje eti mi ni upande fulani! Niliwahi kukuambia au ulinipa kadi no ngapi? Any way,hayo maandamano ya kupinga kutumiwa na ccm,ni kina nani wanaotumiwa na ccm?
Ni kina nepi na chemba wanaojitoa ufahamu eti hawujui nchi inakwenda pabaya.
 
Nipo maeneo ya quality centre msafara mkubwa wa pikipiki na bajaji na escort mbele na nyuma huku wakipiga makelele na honi wakieleke police post ina semekana ni piki piki za tazara mpaka temeke zakamatwa ili kupunguza maandamano ya kesho . Hakuna kulala mpaka kieleweke hata kwa migu tutakuja na tutajaa

Hata wakikamata pikipiki zote mjini, tutatumia za kwetu, nazo wakamate waone!!!

View attachment 82565
 
Mkuu unanihukumuje eti mi ni upande fulani! Niliwahi kukuambia au ulinipa kadi no ngapi? Any way,hayo maandamano ya kupinga kutumiwa na ccm,ni kina nani wanaotumiwa na ccm?

Unataka kubisha tu, wewe umejuaje kwamba pande ile maana yake chama fulani?? kwa nini haujafikiria anamaanisha wewe ni Mkenya labda?
 
policcm hatuwaogopi hii nchi ni yetu, na lazima tuilinde na kutetea maslahi yetu.
wakitaka kujua nguvu yetu wazuie waone.
:bowl:HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE:target:
 
Back
Top Bottom