coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
WanaJF nimeongea na mdau mmoja wa Arusha anasema katika zile vurugu za Arusha kuna jamaa alimchoma visu police officer na kumuua lakini police Arusha wanafanya kila wawezalo kufunika hiyo ishu. Pia gari la maji ya kuwasha lilivunjwa vioo. Mwenye data zinazofanana na hizi atujuze tafadhari