Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,385
Safi sana,wangekufa polisi wengine wawili ili tuwe sawa.,well done
wewe usiwe mjinga, vitambaa na risasi haviwezi kuwa sawa,mtakwisha mwaka huu.
Safi sana,wangekufa polisi wengine wawili ili tuwe sawa.,well done
tulikuwa na maji na mawe lakini kwa taarifa ya uvunguni polisi mmoja chali na pp wawili siku nyingine tutakuwa na zana za maana halafu utaona matokeo....Mimi nilwaambia mnajifanya mna nguvu ya umma iko wapi sasa.Niliwaambia polisi tangia wafanye mafunzo yao hawajafanya practical,sasa chance kama hiyo ikipatikan kwao ni furaha.Siku nyingine naona mkiambiwa hakuna kuandaman mtaufyata.Sisi wengine tunaendelea na kazi zetu hatuna shaka tuna jeshi imara la kupamabana na maaduai wa ndani na nje
tulikuwa na maji na mawe lakini kwa taarifa ya uvunguni polisi mmoja chali na pp wawili siku nyingine tutakuwa na zana za maana halafu utaona matokeo....
unafikilia mimi nilikuwa kwenye kiboard tu hata kwenye maandamano nilikuwepo..hata kesho yakiitishwa nitaenda na kwasasa na jipanga kujilinda zaidi kwani vipi?wewe leo unanifurahisha kidogo, unakuja na solution badala ya kulalamika tu, kama mnataka kujitambulisha kama wapambanaji pambaneni badala kuja kulialia hapa kama watoto. Siku mkijipanga tena muwatafute vijana wa mwema crashwire labda mtaweza kupunguza machungu kidogo.
.......wewe leo unanifurahisha kidogo, unakuja na solution badala ya kulalamika tu, kama mnataka kujitambulisha kama wapambanaji pambaneni badala kuja kulialia hapa kama watoto. Siku mkijipanga tena muwatafute vijana wa mwema crashwire labda mtaweza kupunguza machungu kidogo.
kwakweli sijui Tz inaelekea wapi?umefika wakati wa wananchi kurejesha mapigo
na hawa lazima shubiri wailambe, kama inawezekana tungewaua alau askari kumi hivi kisiri siri huenda serikali itajifunza
Raia na polisi wote ni binadamu ambao wanatakiwa kuishi kwa maelewano na wakitofautishwa na majukumu yao.
Hakuna mwenye haki ya kuua mwingine. Ni mawazo ya kipuuzi kushabikia mauaji.
Binadamu yeyote anaweza kuua mwingine awe raia au polisi kinachotegemewa hapo ni timing tu kulingana na ubora wa zana anayotumia.
Polisi wana ndugu zao ambao ni raia na vivyo hivyo raia wana ndugu zao ambao ni polisi. Tukiendeleza mawazo ya kujenga chuki kati ya raia na polisi kwa kushabikia mauaji ya kijinga hakuna atakayekuwa na uhakika wa usalama.
Uovu ukifanywa na yeyote kati ya police au raia ni uovu tu na unastahili kupingwa kwa nguvu zote.
wewe usiwe mjinga, vitambaa na risasi haviwezi kuwa sawa,mtakwisha mwaka huu.
wewe leo unanifurahisha kidogo, unakuja na solution badala ya kulalamika tu, kama mnataka kujitambulisha kama wapambanaji pambaneni badala kuja kulialia hapa kama watoto. Siku mkijipanga tena muwatafute vijana wa mwema crashwire labda mtaweza kupunguza machungu kidogo.
Wewe bure kabisa, kulingana na kauli ya Nahodha nguvu ya umma imeshinda maana ka surrender na kukubali kukaa pamoja na kuzungumza jambo ambalo walilikataa mwanzoni ( wakiongozwa na Babu J. wa CCM) hata EL alipoona ngoma hiyo nzito ushauri wake mliuponda.Mimi nilwaambia mnajifanya mna nguvu ya umma iko wapi sasa.Niliwaambia polisi tangia wafanye mafunzo yao hawajafanya practical,sasa chance kama hiyo ikipatikan kwao ni furaha.Siku nyingine naona mkiambiwa hakuna kuandaman mtaufyata.Sisi wengine tunaendelea na kazi zetu hatuna shaka tuna jeshi imara la kupamabana na maaduai wa ndani na nje
Raia na polisi wote ni binadamu ambao wanatakiwa kuishi kwa maelewano na wakitofautishwa na majukumu yao.
Hakuna mwenye haki ya kuua mwingine. Ni mawazo ya kipuuzi kushabikia mauaji.
Binadamu yeyote anaweza kuua mwingine awe raia au polisi kinachotegemewa hapo ni timing tu kulingana na ubora wa zana anayotumia.
Polisi wana ndugu zao ambao ni raia na vivyo hivyo raia wana ndugu zao ambao ni polisi. Tukiendeleza mawazo ya kujenga chuki kati ya raia na polisi kwa kushabikia mauaji ya kijinga hakuna atakayekuwa na uhakika wa usalama.
Uovu ukifanywa na yeyote kati ya police au raia ni uovu tu na unastahili kupingwa kwa nguvu zote.
Raia na polisi wote ni binadamu ambao wanatakiwa kuishi kwa maelewano na wakitofautishwa na majukumu yao.
Hakuna mwenye haki ya kuua mwingine. Ni mawazo ya kipuuzi kushabikia mauaji.
Binadamu yeyote anaweza kuua mwingine awe raia au polisi kinachotegemewa hapo ni timing tu kulingana na ubora wa zana anayotumia.
Polisi wana ndugu zao ambao ni raia na vivyo hivyo raia wana ndugu zao ambao ni polisi. Tukiendeleza mawazo ya kujenga chuki kati ya raia na polisi kwa kushabikia mauaji ya kijinga hakuna atakayekuwa na uhakika wa usalama.
Uovu ukifanywa na yeyote kati ya police au raia ni uovu tu na unastahili kupingwa kwa nguvu zote.