DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
JWTZ ingilieni kati jaman…kutusubiri sisi hadi 29 Oct ni mbali kwani wazalendo wengi wanapotezwa sasa.

shujaa, mzalendo na kijana mwenye maono na nia njema kwa watanzania ndugu POLEPOLE wanaenda mpeleka kaburini. Kweli nafsi zenu zitabaki na amani ikiwa mlikuwa na nafasi hii ya kuokoa roho yake. Mlishindwa kwa JPM, hata kwa Polepole inashindikana na watu waliye naye wanajulikana.

Najuta kwanini nilikataa ile OFA ya kuingia jeshini, na uhakika by now ngekuwa kwenye rank za juu na ningeweza fanya kitu.
 
Unakumbuka tuliwahi kukutana Russia 2017 ulipokuwa unafuatilia maisha ya Dr. Shika? Naona sasa umeamua kuwafuatilia Polepole na Mafwele & co😂

Cc: Mimi Wewe Yule
 
Tuliowengi humu ni wale tusiokuwa na lolote la kufanya zaidi ya kusoma kilichoandikwa na watu kama nyie na ku comment tu ili kupunguza machungu moyoni

Kama kweli nyie watu mna watu huko jikoni, kwenye vyanzo vyovyote, wenye nguvu na mnachukizwa na haya yanayoendelea, kwanini na nyie msiunde task force yenu?

Kwa mfano, mnajua kabisa Polepole yuko Mbweni kituo fulani wanapanga kumuhamisha kwenda sehemu fulani, inahitaji nini kuvamia hicho kituo na kumuokoa huyo muhanga? Kama mnajua kitua alichopo naamini hata idadi ya polisi walioko kwenye hicho kituo mnaijua na siraha walizonazo zinajulikana.

Kwani tunayoyaona kwenye movie si yanawezekana kufanyika katika uhalisia?

Watekaji (Polisi?) ni binadamu kama nyie, mbinu hizo hizo wanazotumia kuvamia na kuteka watu na kuondoka nao bila kukamatwa bila kuonekana ndio hizo hizo zitumike kuokoa waliotekwa kama kweli hizi taarifa mnazotoa ni za kweli kuliko kubaki kusema kuna hiki, kitu fulani kiko hivi bila kufanyika chochote cha kuokoa uhai wa mtu aliyeko matatizoni
 
Kwani Polepole alikwisharudi nchini? Nyie watu mna episodes za ajabu sana.

Ila kama ni kweli nitafurahi kusikia Polepole 'ananywea kikombe' alichokuwa anawanywesha wengine kipindi cha Magufuli.

Namchukia sana to be honest
 
Mange kasema wame mpeleka kigamboni uko wewe mwebepande sawa yule kaleta kabisa na picha ya gari walilo mteka mpaka na kikundi chake tuletee na kaushaid wa picha sio manenk tu haya toshi
Kwenye hiyo picha polepole anaonekana ndano ya gari?
 
Hichi ndo kitu hata mm najiuliza mkuu, yaan wapo kwenye hvyo vyombo vya ulinzi na usalama, wanashindwa nao kutumia nguvu kama wanazotumia hao watenda maovu.
 
Nchi imejaa ma key board warriors tu hii. Ukisoma JF unawaona wako kama Fidel Castro au Che Guevara. Ila kwa ground ni wangese tu kama uncle T au James Delicious.
 
Tulipofikia hakuna hata haja ya kupeana hizo taarifa maana hazina msaada wowote

Kwenye dunia ya wenye akili watu huwekeza muda wao na kutumia rasilimali kupenya kwenye vyombo kutafuta taarifa ili ziweze kuwasaidia kufanikisha jambo fulani, lakini huku kwetu watu wanakusanya taarifa ili kuzileta jamiiforums watu wasome waongeze huzuni tu bila kuchukua hatua yoyote
 
Hivi ni hela tu ambazo taysri wanazo au ni nn
🤔🤔😭😭😭😭
 
Umesikia maelezo ya wajeda?
Hawawezi kuanza tu from no whr,lzm wanachi tutoke then polis wakitaka kupiga wananchi ndo wao wanaingia kazini
Ss sijui km ndo ilivyo au vipi,wajuzi wa mambo tunaomba ufafanuzi
 
Halafu Kamanda Muliro anatunga uongo hajui halipo.

Lakini hawa jamaa aisee.

Kuficha taarifa za uhalifu ni ‘abetting’ na hilo ni kosa la jinai.

Sasa sijui lini RPC nae aliwekewa kinga ya kutoshtakiwa kwenye katiba kwa makosa ya jinai.
 
Kweli kabisa jmn
 
Mange kasema wame mpeleka kigamboni uko wewe mwebepande sawa yule kaleta kabisa na picha ya gari walilo mteka mpaka na kikundi chake tuletee na kaushaid wa picha sio manenk tu haya toshi
Hivi kutoka kigamboni hadi mbweni Kwa gari za serikali inachukua dakika ngapi? Binafsi Nina amini taarifa zote zinaweza kua sahihi maana hawawezi kukaa nae sehemu Moja Kwa muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…