Poleni wasichana kwa mtihani huu

Poleni wasichana kwa mtihani huu

Tumeagizwa tupeane baada ya ndoa.yaani hapo unakuwa utatoa na kupewa na mumeo, ila sababu unampa mtu asiye mumeo.unakuwa unagawa maana unatoa bure.unampa yeyote asiye na guarrantee.unagawa aisee.

Unaweza gawa kwangu, kwa issa,kwa john.....................

Mbona anayeomba akagaiwa mnamficha nyuma ya pazia. tabia ya kuomba omba muacheeee.
 
Je tunaishi kwa mipango~mikakati yenye utekelezwaji makini?Au tunatumai katika bahati na hewala BWANA?Mapenzi na ndoa ni kama mauzauza fulani mkuu.
 
Tupe sababu za mafanikio ya hao jamaa kuoa maafisa

Hakuna kitu kizuri kama kuwa wewe...i mean maisha ya kupritend unajikuta unaishi maisha yasiyokuwa yako kitu ambacho kitakunyima vinavyokustahili na kupata visivyokuwa vyako! Unakumbuka Mzee Zuma/Mswati aliwahi kumegewa na mlinzi/waziri wake? sasa jiulize kama mapenzi ni kuwa na kazi nzuri vije mke wa mwenye kazi nzuri say presidaa amegwe na aliye mtumishi kwenye utawala wa mumewe?
 
Wanawake huwa mnakoseaga hapo tu..utakubali vipi kubeba mimba ya mtu ambaye huna mkataba nae wowote......pole sana mpendwa mapenzi yale uliyokuwa ukimpa jamaa yahamishie kwa mwanao kipenzi maana huyo ndio kila kitu kwako kwa sasa......kwa ushauri zaidi njoo pm.......
Mimba ya pili inajongea.....
 
nawachukia wanaume wote ...especially you ...uloniacha na kichanga ukaenda kufunga ndoa...

Kuna beste yangu mmoja jina lake linaanzia na S ninahisi kama wewe vile pia aliachwaga na mimba, na msela wake akaenda kuoa demu mwingine.
 
ladyisa kwani makubaliano ilikua ukimpa akuoe au ilikua akugegede tu?!
 
Last edited by a moderator:
ladyisa kwani makubaliano ilikua ukimpa akuoe au ilikua akugegede tu?!

NB: Na itakuwa vyema sana kama atatuambia kama jamaa alikuwa na boloyanki au kibamia,as well as alishawahi kumfanya asquirt!!!

Manake ndo mambo wanayoyashabikia mnooo
 
Last edited by a moderator:
Ni rahisi kumpata mwanamke kama tu unapojieleza unampa uhuru wa kukuuliza,wanawake wengi wanampima mwanaume kwa kuongea kwake ile siku ya kwanza,baada ya hapo kitandani....hizo mbwembwe za kazi nzuri,pesa baadae sana kwani hamjaona mwanamke yuko na mumewe mambo safi lkn anachapwa na kuli wa pale rangi 3?
 
maana ya neno "TONGOZA" nijuavyo mimi ni ''LAGHAI" laghaisha/danganya ili kufanikisha.....sasa kama hujui lazima ulalamike na kujiaminisha dada zetu wana mitihani....mtihani unao wewe usiejua kuimbisha mpaka nguo zinamvuka zenyewe,,,, suala la kula na kukimbia hiyo ni second prosija.....
 
Mwanamke ataacha kutumika kama chombo cha starehe mpaka atakapoanza kumpima mwanaume kwa matendo yake na sio kwa maneno yake kwani kuongea ni rahisi kuliko kutenda....kuna wanawake watu wengi sana huu ni mwaka wa kumi tangu wapewe ahadi za kuolewa huku wakiendelea kutumika kwa fujo........

Daa! jamani jamani
 
Back
Top Bottom