Mbutu Wazagamba
Member
- Aug 13, 2014
- 29
- 8
Women: "If you don't take risks you won't be married"this is your most difficult exam,while trying to escape"HIT & RUN tactics"just take risks as an entrepreneur,umdhanie ndiye kumbe siye, umdhanie siye kumbe ndiye.
Unayedhani lengo ni kupiga na kukimbia ndiye muoaji, unamkataa na kumkatalia. Unayedhani yuko serious anataka akuoe ndiye unamkubalia anapiga hafu anakimbia na kukuachia mimba.
Unayedhani lengo ni kupiga na kukimbia ndiye muoaji, unamkataa na kumkatalia. Unayedhani yuko serious anataka akuoe ndiye unamkubalia anapiga hafu anakimbia na kukuachia mimba.