Poleni wasichana kwa mtihani huu

Poleni wasichana kwa mtihani huu

Joined
Aug 13, 2014
Posts
29
Reaction score
8
Women: "If you don't take risks you won't be married"this is your most difficult exam,while trying to escape"HIT & RUN tactics"just take risks as an entrepreneur,umdhanie ndiye kumbe siye, umdhanie siye kumbe ndiye.

Unayedhani lengo ni kupiga na kukimbia ndiye muoaji, unamkataa na kumkatalia. Unayedhani yuko serious anataka akuoe ndiye unamkubalia anapiga hafu anakimbia na kukuachia mimba.
 
wanawake mwalimu wao kipofu,mie nina kazi yangu naweza nikatangaza nia lakini nisikubariwe lakini mvuta bangi au kibaka akakubariwa
 
wanawake mwalimu wao kipofu,mie nina kazi yangu naweza nikatangaza nia lakini nisikubariwe lakini mvuta bangi au kibaka akakubariwa

Kuna kitu kidogo you decent boys hamjui...kwamba mimi ni mtanashati sana,nina degree or nina kazi nzuri nani alikudanganya hizo ni SI unit za kupata mke? Wenzako ni wavuta bangi na washiriki wakubwa wa matendo ambayo unayaonea haya ila wameoa maofisa wa kike wa polisi na salauti zinaishia mlangoni ndani ni baby za kushiba! wee baki na kazi yako nzuri tu usaidie familia yenu!
 
Kuna kitu kidogo you decent boys hamjui...kwamba mimi ni mtanashati sana,nina degree or nina kazi nzuri nani alikudanganya hizo ni SI unit za kupata mke? Wenzako ni wavuta bangi na washiriki wakubwa wa matendo ambayo unayaonea haya ila wameoa maofisa wa kike wa polisi na salauti zinaishia mlangoni ndani ni baby za kushiba! wee baki na kazi yako nzuri tu usaidie familia yenu!

umeshamaliza ulichoongea basi wewe ndo walewale ambao mtoa mada anawazungumzia
 
umeshamaliza ulichoongea basi wewe ndo walewale ambao mtoa mada anawazungumzia

Kama kuna mtu mzima kidogo ulipo mwambie akufafanulie nilichoandika...beside hapakua na ulazima wa kujibu leo huenda ungetulia kesho ungeelewa nilichomaanisha
 
Ktk Swala La Uhusiano Hakuna Mjanja Na Pande Zote Hupenda Kauli Nzur. Ukiwa Mkweli Mwanamke Humpati, Ukiwa Muongo Bas Ki Ulain Utampata, Ukijifanya Msema Ukwel, Unajibu Shortcut, Wakat Ye Anataka Umpige Voko Na Maelezo Malefu, Usomi Kuleeee Mapenz Hapa
 
Mwalimu wetu co kipofu.
% kubwa ya mwanaume ni wadanganyifu anakuja kwa sura ya upole kumbe mbwa mwitu.
 
Ktk Swala La Uhusiano Hakuna Mjanja Na Pande Zote Hupenda Kauli Nzur. Ukiwa Mkweli Mwanamke Humpati, Ukiwa Muongo Bas Ki Ulain Utampata, Ukijifanya Msema Ukwel, Unajibu Shortcut, Wakat Ye Anataka Umpige Voko Na Maelezo Malefu, Usomi Kuleeee Mapenz Hapa

Kweli mkuu..nenda jifanye Msema Kweli uone utaishia kulalamika na kujiona huna kisimati..
Binti cha kwanza adanganywe atakama hunampango wa kumuoa wee mwambie soon akikukubalia unaenda mtambulisha home then after ndoa..kwa hapo siku iyo iyo utapewa kamzigo..
Sasa wee mara unaulizwa tutaoana unajibu tutachunguza tabia kwanzaa..utasubiri
 
wanawake mwalimu wao kipofu,mie nina kazi yangu naweza nikatangaza nia lakini nisikubariwe lakini mvuta bangi au kibaka akakubariwa

Yaani umeniskitisha, kwani mwanamke anaolewa na kazi yako???? mapenzi hayachagui ndugu yangu ila ungesema wanawake wanalaghaiwa na wanaume ambao hawana future ningekuelewa, ila habari ya kazi hapo hapana. mwanamke hafuati kazi kwenye ndoa, ingekuwa tunafuata kazi basi wengi wangeolewa na ATM ili awe anakuhesabia hata wewe. Ukiwa mwanaume na unaweza kujenga hoja na unajiamini huwezi kukosa mke bhana!
 
Mwanamke ataacha kutumika kama chombo cha starehe mpaka atakapoanza kumpima mwanaume kwa matendo yake na sio kwa maneno yake kwani kuongea ni rahisi kuliko kutenda....kuna wanawake watu wengi sana huu ni mwaka wa kumi tangu wapewe ahadi za kuolewa huku wakiendelea kutumika kwa fujo........
 
Mwanamke ataacha kutumika kama chombo cha starehe mpaka atakapoanza kumpima mwanaume kwa matendo yake na sio kwa maneno yake kwani kuongea ni rahisi kuliko kutenda....kuna wanawake watu wengi sana huu ni mwaka wa kumi tangu wapewe ahadi za kuolewa huku wakiendelea kutumika kwa fujo........

Aiseeee mchana mwema
 
Mwanamke ataacha kutumika kama chombo cha starehe mpaka atakapoanza kumpima mwanaume kwa matendo yake na sio kwa maneno yake kwani kuongea ni rahisi kuliko kutenda....kuna wanawake watu wengi sana huu ni mwaka wa kumi tangu wapewe ahadi za kuolewa huku wakiendelea kutumika kwa fujo........

mkuu unaweza fafa nunua kutumika kwa fujo kukoje?
 
nawachukia wanaume wote ...especially you ...uloniacha na kichanga ukaenda kufunga ndoa...
 
Please anybody who believes from the heart that there are profits/benefits for us THE PEOPLE in this East African Federation thing, please use this place to convince me, I badly need to take this in, as it is here, with us, I need to, I have to know it, (not the political side only).

THANK YOU FOR YOUR TUITION!!!

Kama hamfuati kazi mbona mnataka wenye magari?,...mtu akifulia mnamkimbia!
 
nawachukia wanaume wote ...especially you ...uloniacha na kichanga ukaenda kufunga ndoa...
Wanawake huwa mnakoseaga hapo tu..utakubali vipi kubeba mimba ya mtu ambaye huna mkataba nae wowote......pole sana mpendwa mapenzi yale uliyokuwa ukimpa jamaa yahamishie kwa mwanao kipenzi maana huyo ndio kila kitu kwako kwa sasa......kwa ushauri zaidi njoo pm.......
 
Wanawake huwa mnakoseaga hapo tu..utakubali vipi kubeba mimba ya mtu ambaye huna mkataba nae wowote......pole sana mpendwa mapenzi yale uliyokuwa ukimpa jamaa yahamishie kwa mwanao kipenzi maana huyo ndio kila kitu kwako kwa sasa......kwa ushauri zaidi njoo pm.......

asante sana kwa ushauri wako .mungu mkubwa ..nampenda sana mwanangu ...
 
Back
Top Bottom