Poleni wasichana kwa mtihani huu

Poleni wasichana kwa mtihani huu

Kwani babu mimi ulinioa ukiwa na kazi???? si ulikuwa na kishamba tu, watu hawajui upendo huwa unaota popote.
Wanadhani siye tupo after money tu.

Ndo maana nakupenda..!! Watu hawajui kweli upendo unaota popote na kukua popote kama ulivyonikuta na kishamba..!! Watu hawatikiwi kuwakariri wanawake kwa mitazamo yao binafsi.!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kuna kitu kidogo you decent boys hamjui...kwamba mimi ni mtanashati sana,nina degree or nina kazi nzuri nani alikudanganya hizo ni SI unit za kupata mke? Wenzako ni wavuta bangi na washiriki wakubwa wa matendo ambayo unayaonea haya ila wameoa maofisa wa kike wa polisi na salauti zinaishia mlangoni ndani ni baby za kushiba! wee baki na kazi yako nzuri tu usaidie familia yenu!

Tupe sababu za mafanikio ya hao jamaa kuoa maafisa
 
Ndo maana nakupenda..!! Watu hawajui kweli upendo unaota popote na kukua popote kama ulivyonikuta na kishamba..!! Watu hawatikiwi kuwakariri wanawake kwa mitazamo yao binafsi.!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Wacha waendelee na mitazamo hiyo. hii pia ni dalili ya watu kuwa wazito kurusha ndoano, matokeo yake wanakuwa na kelele nyingiiii.
 
Na kweli wanawake wanaipata ila siri ya ndoa ni kumuomba Mungu bila hivyo utatumika mpaka uzeeke
 
Yaani umeniskitisha, kwani mwanamke anaolewa na kazi yako???? mapenzi hayachagui ndugu yangu ila ungesema wanawake wanalaghaiwa na wanaume ambao hawana future ningekuelewa, ila habari ya kazi hapo hapana. mwanamke hafuati kazi kwenye ndoa, ingekuwa tunafuata kazi basi wengi wangeolewa na ATM ili awe anakuhesabia hata wewe. Ukiwa mwanaume na unaweza kujenga hoja na unajiamini huwezi kukosa mke bhana!

Kujenga hoja. Wanawake wa aina gani wanasikiliza hoja. Labda hoja za pesa.
 
Kujenga hoja. Wanawake wa aina gani wanasikiliza hoja. Labda hoja za pesa.

Wasiwasi wako tu, sio kila mwanamke anataka pesa, kuna wanawake wanatoka kwenye familia ambazo wamezoea pesa, akiona pesa haweweseki, wanamaisha yao. ila sema wanaume wengi huwaogopa kwa kujifeel inferior.
 
Mapenzi hayana kanuni kwamba uanzie juu au chini hapana. Ni kujiamini na utayari wa kupotea jibu/majibu/matokeo yoyote yale. Ikiwa ndiyo tumia, ikiwa hapana songa mbele, hakuna muda wa kusononeka wala kuwaza kwa nini.
 
Wacha waendelee na mitazamo hiyo. hii pia ni dalili ya watu kuwa wazito kurusha ndoano, matokeo yake wanakuwa na kelele nyingiiii.

Ni kweli hayo wakati mwingine ni matatzo ya kushindwa kujiongeza

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hiyo lugha n mbayaaaa. unaposema kugawa kwani ni biscut ile kwamba kuna watu wamenyoosha mikono ili wagaiwe????? Wanaume watu wa ajabu sana, wakati wa kuomba hadi mnalia, mkipewa mbwembwe na matusi kibao. nicheke mie.

Tumeagizwa tupeane baada ya ndoa.yaani hapo unakuwa utatoa na kupewa na mumeo, ila sababu unampa mtu asiye mumeo.unakuwa unagawa maana unatoa bure.unampa yeyote asiye na guarrantee.unagawa aisee.

Unaweza gawa kwangu, kwa issa,kwa john.....................
 
Hivi inakuwaje mwanamke unadanganywa kwamba nakuoa halafu kumbe mwanaume ni hit and run, ??mbona mwanaume kwa kuongea tu ile mnapotongozana unajua kabisa huyu ni muoaji na huyu ni hit and run.Tatizo tunakurupuka
 
Back
Top Bottom