Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 907
Riziki anatoa Mungu, mimi naamini kama kitu c riziki yako hataufanye nn, itakaa kushoto tu. Madada please omba mwenyezi Mungu hakika atakupa kitu bora, zaidi basi turidhike tamaa hizi zitatumaliza jamani. hawa madume wamevaa feki ID usoni hawasomeki.
wakati mwanamke anawaza 1 mwanaume ameshawaza 2. hatari sana.
wakati mwanamke anawaza 1 mwanaume ameshawaza 2. hatari sana.