Pole sana Mama Shupavu Anna Killango

Pole sana Mama Shupavu Anna Killango

Status
Not open for further replies.
Pole sana Mama Shupavu Anna Killango, Lakini pia nakulaumu wewe kuwa kigeugeu ndio maana hata huo Uchaguzi wamekuzunguka na wamekushinda, Huwezi kuwa Chumvi tthe Same time Sukari.

Nazani timu ya Mh. Iliona Anna Akishinda basi Mafisadi na Hata Nafsi ya Uenyekiti wa Mh. Kikwete Ungekuwa Hatarini.

yeye mwenyewe fisadi,

rejea alivyogawa rushwa wakati wa kampeni ya udiwani kiwira kule mbeya
 
Wapambanaji wa ufisadi
1.Samuel Sitta-Waziri
2.Anne Kilango
3.Ole sendeka
4.Stella Manyanya-RC ruvuma
5.Fredy Mpendazoe
6.Dr Harrison Mwakyembe-Waziri
Lowasa Wasira, Chenge, Nchimbi, Rostam, Mlugo, na Mkuu wakaya.
 
binafsi, nampongeza kwa kushinda nafasi ya pili na kura alizopata ndo ulikuwa mtaji wake kisiasa, kwani alipambana na nguli.
 
Pole sana Mama Shupavu Anna Killango, Lakini pia nakulaumu wewe kuwa kigeugeu ndio maana hata huo Uchaguzi wamekuzunguka na wamekushinda, Huwezi kuwa Chumvi tthe Same time Sukari.

Nazani timu ya Mh. Iliona Anna Akishinda basi Mafisadi na Hata Nafsi ya Uenyekiti wa Mh. Kikwete Ungekuwa Hatarini.

Mnafiki tu, Kiwira ametoa rushwa mpaka basi lakini bado wakashindwa. Mbeya hawataki hata kumsikia huyu mama. Aliponea chupu chupu kupopolewa mawe
 
Mafisadi wamuogope fisadi mwenzao, kama yeye sio fsadi bac akalishtak gazeti la Raia Mwema la last week maana lmeweka kila ktu wazi, bora hata ya Sopha ameeleza wazi kwamba yeye hawez akaikosoa serkali kulko anayekosoa kwa makosa yaleyale ambayo nae anashriki.Kwanza ana ushupavu gani, hebu tuambie mtoa mada.
 
Kilango Sasa KUSHNEEII kwa Siasa. Alidandia Ah
Agenda ya Chadema ya Ifisadi akiwa amebas Gamba. Wanawake wakambwaga. Na KILANGO KIMEFUNGWA permanently.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom