Hapo umenena ndugu! huyu mama wa kipare nilimwaminia sana kumbe ni wale walekilango hana impact
tena,amekuwa mnafk na kigeugeu na ndicho kilichomponza.ni kwel anaweza
kuwa na uwezo kiutendaji ukimlinganisha na simba,bt kashindwa kuchanga
karata zake well hayuko kwa mafisad na upande wa wapambanaji anaonekana
mnafki na mganga njaa tu.
Pole sana Mama Shupavu Anna Killango, Lakini pia nakulaumu wewe kuwa kigeugeu ndio maana hata huo Uchaguzi wamekuzunguka na wamekushinda, Huwezi kuwa Chumvi tthe Same time Sukari.
Nazani timu ya Mh. Iliona Anna Akishinda basi Mafisadi na Hata Nafsi ya Uenyekiti wa Mh. Kikwete Ungekuwa Hatarini.
nadhani atapunguza mdomo rightnow!!maneno mengi kumbe simba wa maonyesho
Bora hata simba wa maonyesho ana meno.nadhani atapunguza mdomo rightnow!!maneno mengi kumbe simba wa maonyesho
Pole sana Mama Shupavu Anna Killango, Lakini pia nakulaumu wewe kuwa kigeugeu ndio maana hata huo Uchaguzi wamekuzunguka na wamekushinda, Huwezi kuwa Chumvi tthe Same time Sukari.
Nazani timu ya Mh. Iliona Anna Akishinda basi Mafisadi na Hata Nafsi ya Uenyekiti wa Mh. Kikwete Ungekuwa Hatarini.
Mkuu mbona unabadilisha avatar zako sana rudisha ile ya gadaffApumzike siasa amlee mzee wetu mpendwa John Samuel Malecela pia amlee na mwanae wa kufikia Le mutuz
Mkuu mbona unabadilisha avatar zako sana rudisha ile ya gadaff
Ya gadaff imekaa kiuamsho?Hii ya Galileo ndio imetulia! Galileo alikuwa scientist! Philosopher! Great Thinker! Pioneer!