PakaJimmy kafiwa na baba mkwe na hivi sasa yuko safarini kuelekea Mbeya msibani. Kwa udau wake mkubwa hapa JF nimeona niwajulishe.
Mungu ailaze pema roho ya baba mkwe.
pole sana mkuu PJ . . Mwenyezi Mungu awatie nguvu na kuwalinda wakat wote wa safari wewe pamoja na familia yako. kwa niaba ya jf ladies wote, natoa pole tena kwa wifi yetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.