PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Wanabodi,
Nianze kwa kumshukuru sn mdau pmwasyoke kwa kuwajuza wanajamvi.
Hakika namshngaa mdau huyu, maana simfahamu ambapo yaelekea yeye ananijua vyema. Anyway, JF ni pana sana na yawezakuta ni jamaangu wa karibu.
Ni kweli kabisa wadau nimepata msiba wa baba mkwe wangu na hv sasa ndio naingia mbuga ya Mikumi nikiwahi mazishi hapo kesho. Nawashukuru sana kwa POLE zenu, na niombeeni nifike salama.
Nianze kwa kumshukuru sn mdau pmwasyoke kwa kuwajuza wanajamvi.
Hakika namshngaa mdau huyu, maana simfahamu ambapo yaelekea yeye ananijua vyema. Anyway, JF ni pana sana na yawezakuta ni jamaangu wa karibu.
Ni kweli kabisa wadau nimepata msiba wa baba mkwe wangu na hv sasa ndio naingia mbuga ya Mikumi nikiwahi mazishi hapo kesho. Nawashukuru sana kwa POLE zenu, na niombeeni nifike salama.
Last edited by a moderator: