Inawezekana kawa mwenyewe aliyekuwa anaomba uraisi JF bwana udanganyi mtu ,Maaskofu wa dhehebu lipi wanaweza kumwalika na kulipwa elfu hamsini those scholars , I doubtHapo ndipo pameniacha hoi, Yaani Maaskofu ninavyowafahamu wamwalike Makamba?? Ngoja tusubiri barua ya mwaliko kutoka kwa Kamisaa
aa jamani mbona nchi yetu imeingia kwenye ombwe la uongozi