AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Mkuu we ni mnafiki ulishindwa nin kuhoji huko hotelini. BTW ni haki ya kikatiba kwa January kugombea urais kwani tatizo ni nini?
Go Makamba.
Go Makamba.
Wamarekani wanataka Makamba Jr awe Rais, wanaamini chini ya Makamba Jr Masilahi yao yatakuwa salama...Fedha za kumuwezesha tayari zipo...
Mkuu we ni mnafiki ulishindwa nin kuhoji huko hotelini. BTW ni haki ya kikatiba kwa January kugombea urais kwani tatizo ni nini?
Go Makamba.
Hivi mtu mlikiwa nae masaa yote pale kwanini haya maswala usimuulize pale pale nadhani angekupa majibu stahiki,sasa umeyaleta hapa kutaka kumdhalilisha au kutaka nini? Sijaelewa nia yakuleta haya hapa
tatizo lako wewe mwana mama ni kiherehere swali hujaulizwa wewe unakuja mkujibia au wewe nyumba ndogo ya january..punguza kiherehere..
Umelishwa, umepewa usafiri wa kuja na kurudi na wa ndani,umelipiwa chumba, vinywaji nadhani na umelipiwa na zinaa ulio ifanya mwza. Baada yayote umepewa na 50000. Nahumo kwenye kikao hukuyasema haya mbele ya January unatuletea sisi huku je unataka tukujibu nini wakati ww ulionana na January uso kwa uso kama sio mbumbavu ninani?
Mkuu we ni mnafiki ulishindwa nin kuhoji huko hotelini. BTW ni haki ya kikatiba kwa January kugombea urais kwani tatizo ni nini?
Go Makamba.
Umelishwa, umepewa usafiri wa kuja na kurudi na wa ndani,umelipiwa chumba, vinywaji nadhani na umelipiwa na zinaa ulio ifanya mwza. Baada yayote umepewa na 50000. Nahumo kwenye kikao hukuyasema haya mbele ya January unatuletea sisi huku je unataka tukujibu nini wakati ww ulionana na January uso kwa uso kama sio mbumbavu ninani?
Nafikiri tungetafari lengo la mleta mada kwani kama hasingeliwasilisha hili tusingeweza kufahamu upuuzi alioufanya/anaoufanya J.Makamba.
tatizo lako wewe mwana mama ni kiherehere swali hujaulizwa wewe unakuja mkujibia au wewe nyumba ndogo ya january..punguza kiherehere..
Apunguze kweli manake amezidi..... Kila jambo analidaka juu juu
Ulidhani mimi zombie kama wewe kila akisema Mr gongo nikubali?