Hawezi kuthubutu kuleta hivyo vitu ,January Makamba kupitia baba yake walihakikisha anapita bila kupingwa Bumbuli,kwanza waligawa jimbo ,juzi kuna mwenyekiti kachaguliwa kwa kishindo na kwa kura nyingi akamtisha jamaa akasepa kujiponya ni tapeli la kisiasaNdio maana nikasema kukata mzizi wa fitina na kukomesha uongo we tuwekee hiyo Sauti na kama una Video itakuwa vizuri zaidi, pia barua ya mwaliko.