Pinda ana uwezo wa kumsimamisha kazi Blandina Nyoni lakini Jairo hapana kweli?

d2.jpg


Labda hapa walikuwa jana wanajadili namna ya kuridhia kwa pamoja majibu ya kupeleka bungeni kuhusu sakata la Jairo.
 
siasa uchwara ndio sababu pekee ilofanya Pinda aseme amewasimamisha kazi hao watendaji!!
sikitiko langu lilikuwa kwa madaktari kushangilia kana kwamba pinda ni shujaa bila kuona agenda ya mtoto wa mkulima kuwapa maneno waliyotaka kusikia. HE TOLD THEM WHAT THEY WANTED TO HEAR!!!
kwa kweli nlivoona jinsi jamaa walivyoshangilia nlikumbuka thread moja iloandikwa humu siku za nyuma ikiwashambulia madaktari kwa mgomo wao!! Actually they did not and they don't know what they want!!! this is the biggest problem of Tanzanian Doctors!!
 
Jamani faili la Blandina ni chafu huko Ikulu alikuwa analindwa tu na Luhanjo. Maadam Luhanjo kaondoka na wengine wameshika ofc then kumxhukulia hatua ni rahisi. Blandina amewahi kuwaambia wafanyakazi wa Wizara ya Afya kuwa hata wakitaka kwenda Ikuleu kumshitaki waende, ila yeye atajua tu wakiwa geti la Ikulu kabla hawajamuona mkuu. Maana yake kuna mtu ambaye alikuwa anamtegemea ambaye ni Luhanjo. Zaidi ya kwamna Luhanjo alikuwa ni mbena mwenzie lakini kuna tetesi kuwa alikuwa kimada wake pia.
 
Jamani faili la Blandina ni chafu huko Ikulu alikuwa analindwa tu na Luhanjo. Maadam Luhanjo kaondoka na wengine wameshika ofc then kumxhukulia hatua ni rahisi. Blandina amewahi kuwaambia wafanyakazi wa Wizara ya Afya kuwa hata wakitaka kwenda Ikuleu kumshitaki waende, ila yeye atajua tu wakiwa geti la Ikulu kabla hawajamuona mkuu. Maana yake kuna mtu ambaye alikuwa anamtegemea ambaye ni Luhanjo. Zaidi ya kwamna Luhanjo alikuwa ni mbena mwenzie lakini kuna tetesi kuwa alikuwa kimada wake pia.

Unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja.Lakini swali la msingi linabaki palepale.Ni kwa nini Pinda alishindwa kwa Jairo kwa kisingizio cha kutokuwa na mamlaka lakini ameweza kwa Nyoni wakati wote mfumo wa ajira zao ni mmoja?
 
Wadau Jf,
Kwa nia njema kabisa hebu niondoleeni SINTOFAHAMU, ama UTATA katika hili.
Mh. Pinda Mizengo, kama wote tulivyoona kawaadabisha kwa kuwasimamisha kazi viongozi wawili wa wizara ya Afya akiwemo katibu mkuu wizara hiyo Blandina Nyoni.
Rejea sakata la D. Jairo ilipofikia Pinda huyuhuyu kusema angekua anao uwezo wa kumuadabisha angefanya hivyo, lakini akadai kwa rank ya Jairo (katibu mkuu wizara iko juu ya uwezo wake)
Sasa Nyoni wadhifa wake na Jairo tofauti yake iko wapi ?
Na hata wakati anamsimamisha Nyoni hakusema namsimamisha (kwa niaba ya Jeikei ? )
alikosaje uwezo kwa Jairo, kwa Nyoni awenao ?
Wadau hii imekaaje ?
Hima mnizibue maskio !
PM alimwagiza Naibu Katibu Mkuu Kiongozi (correct me if I'm wrong kwenye cheo) kuwasimamisha kazi Bi. Blandina Nyoni na Dr. Deo Mtasiwa, hakuwasimamisha yeye moja kwa moja. Na, atakuwa alifanya hivyo akiwa na baraka za Rais kwani walikuwa wameshaongea baada ya kelele nyingi za wadau.

My take:
  • Nafasi ya PM katika maamuzi ni ndogo sana kwa katiba ya sasa ya Tanzania licha ya kuwa 'stamped' kwamba ndiye mtendaji mkuu wa Serikali.
  • Tatizo linatokana na PM kuwa mteule wa Rais, ambaye ndiye mwenye madaraka ya kuteua watu wanaojaza nafasi zote za juu za uongozi wa nchi (ukihacha Bunge pekee)
  • Bomu lililopo ni kwamba kama Rais akiwa "Janga la Kitaifa", PM ataonekana mbaya kwa kuwa ndiye "stamped" kiongozi wa shughuli za Serikali!
  • Kwa bomu hili, Lowasa asingeweza kudumu kama PM wa "Janga la Kitaifa"!
 
Pinda kwa luhanjo alikuwa hawezi kuongea kitu yaani enzi za Luhanjo management structure ilikuwa akitoka Jk anafuata Luhanjo kisha ndio Pinda akitoka Pinda ndio yule Dr wa Nyukria, ila kwa sasa jamaa amepanda cheo yaani baada ya JK anafuata yeye
 
Pinda kwa luhanjo alikuwa hawezi kuongea kitu yaani enzi za Luhanjo management structure ilikuwa akitoka Jk anafuata Luhanjo kisha ndio Pinda akitoka Pinda ndio yule Dr wa Nyukria, ila kwa sasa jamaa amepanda cheo yaani baada ya JK anafuata yeye

Nashawishika kuyakubali unayoyasema, hasa nikifanya review pale PM alipowaambia Doctors kwamba Dokta ambae hatokua ameripoti kazini saa 2 asubuhi kesho yake kutokea siku ya tamko lake, atakua amejifukuza kazi mwenyewe.!
Doctors hawakuripoti, na hakuna aliyefukuzwa !
Sirkali iko wapi hapo ?
 
PM hawezi kumfukuza kazi waziri ama katibu mkuu bila ruhusa ya mkuu wa nchi (Raisi). Wakati wa sakata la Jairo mkuu wa nchi alikuwa safarini hivyo pinda ilibidi asubiri bosi wake arudi ili walijadili hilo suala kabla ya kutoa maamuzi. Lakini hili suala la huyu mama mkuu wa nchi yupo hivyo walipata muda wa kulijadili kiundani na bila shaka mkuu wa nchi akatoa baraka na ruhusa ya kumfukuza kazi mwana mama huyo.
 
PM hawezi kumfukuza kazi waziri ama katibu mkuu bila ruhusa ya mkuu wa nchi (Raisi). Wakati wa sakata la Jairo mkuu wa nchi alikuwa safarini hivyo pinda ilibidi asubiri bosi wake arudi ili walijadili hilo suala kabla ya kutoa maamuzi. Lakini hili suala la huyu mama mkuu wa nchi yupo hivyo walipata muda wa kulijadili kiundani na bila shaka mkuu wa nchi akatoa baraka na ruhusa ya kumfukuza kazi mwana mama huyo.

Blandina Nyoni na Dr. Deo Mtasiwa hawakufukuzwa kazi bali wamesimamishwa kazi pending farther investigations.
 
Nakumbuka sana maneno ya mh Pinda alipokuwa akijib maswali na michango ya wabunge juu ya ufisadi wa Wizara ya nishati na madini, alichokikisema ni kwamba ''HAWEZI KUMWAJIBISHA JAIRO KWA SABABU KACHAGULIWA NA RAIS KUWA KATIBU MKUU WA WIZARA HUSIKA'' je uliwezaje kumwajibisha Blandina Nyoni ambaye naye alikuwa katibu mkuu wa wizara ya afya ambaye naye pia kachaguliwa na rais@@ au ulimaanisha nini mheshimiwa Pinda?
 
nakumbuka sana maneno ya mh pinda alipokuwa akijib maswali na michango ya wabunge juu ya ufisadi wa wizara ya nishati na madini, alichokikisema ni kwamba ''hawezi kumwajibisha jairo kwa sababu kachaguliwa na rais kuwa katibu mkuu wa wizara husika'' je uliwezaje kumwajibisha blandina nyoni ambaye naye alikuwa katibu mkuu wa wizara ya afya ambaye naye pia kachaguliwa na rais@@ au ulimaanisha nini mheshimiwa pinda?

huwa nami nawaza sana hiki kitu.....mh pinda hajui mamlaka yake?
 
Kaka, kaka, hukuzisoma zile risiti za fedha nini, mtoto wa mkulima alisaini Tsh 200,000/= na bibi kirobot naye hizo hizo while Ngereja na Malima walikula 4,000,000/= so angemwajibisha tu huyu mnyilamba angemwaga naye ugali, so hiyo ndo sababu ya kuto kumwajibisha Jairo.
 
Wakati ule alikuwa anamuogopa Philemon Luhanjo ambaye alikuwa na nguvu kuliko yeye Pinda. Matunda ya kustaafu kwa Luhanjo ndiyo haya tunayafaidi, kosa moja Blandina OUT
 
Wakati ule alikuwa anamuogopa Philemon Luhanjo ambaye alikuwa na nguvu kuliko yeye Pinda. Matunda ya kustaafu kwa Luhanjo ndiyo haya tunayafaidi, kosa moja Blandina OUT

Pinda ALITEULIWA NA RAIS kuwa PM kwa kupendekezwa na akina Luhanjo na Jairo akiwa Ikulu, sasa kwanini asimuogope..?? Hiyo ndio hali halisi
 
Nakumbuka sana maneno ya mh Pinda alipokuwa akijib maswali na michango ya wabunge juu ya ufisadi wa Wizara ya nishati na madini, alichokikisema ni kwamba ''HAWEZI KUMWAJIBISHA JAIRO KWA SABABU KACHAGULIWA NA RAIS KUWA KATIBU MKUU WA WIZARA HUSIKA'' je uliwezaje kumwajibisha Blandina Nyoni ambaye naye alikuwa katibu mkuu wa wizara ya afya ambaye naye pia kachaguliwa na rais@@ au ulimaanisha nini mheshimiwa Pinda?

hilo suala nililiwaza xana,tangu aliposema hvyo,naiman ipo cku ataulizwa Bungeni
 
Nakumbuka sana maneno ya mh Pinda alipokuwa akijib maswali na michango ya wabunge juu ya ufisadi wa Wizara ya nishati na madini, alichokikisema ni kwamba ''HAWEZI KUMWAJIBISHA JAIRO KWA SABABU KACHAGULIWA NA RAIS KUWA KATIBU MKUU WA WIZARA HUSIKA'' je uliwezaje kumwajibisha Blandina Nyoni ambaye naye alikuwa katibu mkuu wa wizara ya afya ambaye naye pia kachaguliwa na rais@@ au ulimaanisha nini mheshimiwa Pinda?

Hili nalo nenoooo!
 
Jamani waziri mkuu ni mpole na anamuogopa mzee wa kaya hata hili la Blandina kunauwezekano mkubwa kuwa yeye alitekelezatu maamuzi yalifanywa na Baba Mwanaasha
 
Back
Top Bottom