Pinda ana uwezo wa kumsimamisha kazi Blandina Nyoni lakini Jairo hapana kweli?

Blandina Nyoni,kama walivyo Waziri na Naibu Waziri wa Afya,ameteuliwa na Rais.Pinda hana wala hakuwa na mamlaka ya kumsimamisha asiyemteua.Mbona Jairo alimshindwa? Kisheria,Nyoni bado yu kazini.Pinda,Msomi mwenzangu wa Sheria, amevunja Katiba.Naye awajibishwe...

Hayo ni maigizo tu Nyuma ya pazia I can gues wamekubaliana kuwa tunakusimamisha si kwasabbu una kosa ila ni kwa sababu tun difuse haya madai.

Na kwa sababu hata madai ya madatkari yenywe hayaelewei na yamekuwa yakibailika badilika kusimamishwa kwake Bi Nyoni inaweza ikawa ndio dawa.
 
Wana JF nielezeni ni mamlaka yapi Pinda alihitaji ili kumshughulikia aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya nishati na madini David Jairo, na kwanini alikosa mamlaka hayo akasema anamsubiri Rais. Pinda akasema "
Pinda alisema alikuwa akisubiri Rais Jakaya Kikwete afike Afrika ya Kusini alikokwenda katika ziara ya kiserikali ili aweze "kumshtaki" Katibu Mkuu huyo kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. Pinda alisema hawezi kuchukua hatua dhidi ya Jairo kwani kwa mujibu wa sheria, mamlaka ya uteuzi ndiyo inayoweza kuchukulia hatua dhidi yake.

"Kwa jinsi jambo hili lilivyokaa, hakuna jinsi mtu unavyoweza kulitetea hata kidogo, nilitamani sana kwamba nije hapa niseme kwamba uamuzi wangu mimi ni huu, lakini haikuwezekana," alisema Pinda na kuongeza: "Kwa dhati kabisa naomba wabunge tuwe na subira, mara tu mheshimiwa Rais atakapotua South Africa (Afrika Kusini) jioni ya leo (jana), nitamuarifu na ninaamini tutaelewana kuhusu hatua za kuchukua."


LAKINI KUHUSU BLANDINA NYONI, PINDA HUYO HUYO ANASEMA “Nimeamua kuwasimamisha kazi Katibu Mkuu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu wa Serikali, ili kuweza kupisha uchunguzi maana hizi tuhuma zinafedhehesha taifa

Kwanini maamuzi kama hayo hakuyachukua kwa Jairo? Kwani Jairo hakudhalilisha Taifa? Hapa kuna vitu viwili niwekwe wazi, UPENDELEO AU KUONEANA?


 
hyo ndo serkal legelege mwenzangu,we unategemea nn kipya kwa hyu mwana wa mkulma ,kiukwel amepwaya sana kwenye nafas hii
 
Hata mimi hapa kwa Blandina, nilishtuka kidogo jamaa alipomsimamisha kazi. Lakini tukumbuke kitu kimoja, iliwahi kutamkwa Serikalini kwamba Mafisadi wakikamatwa, nchi yetu itayumba. Na alichokuwa amekifanya Jairo ni ufisadi ndio maana aliogopwa.
 
kwa umri na mamlaka ya uwaziri mkuu wa pinda kitendo alichofanya ni zaidi ya ujinga
 
Wana JF nielezeni ni mamlaka yapi Pinda alihitaji ili kumshughulikia aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya nishati na madini David Jairo, na kwanini alikosa mamlaka hayo akasema anamsubiri Rais. Pinda akasema "
Pinda alisema alikuwa akisubiri Rais Jakaya Kikwete afike Afrika ya Kusini alikokwenda katika ziara ya kiserikali ili aweze "kumshtaki" Katibu Mkuu huyo kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. Pinda alisema hawezi kuchukua hatua dhidi ya Jairo kwani kwa mujibu wa sheria, mamlaka ya uteuzi ndiyo inayoweza kuchukulia hatua dhidi yake.

"Kwa jinsi jambo hili lilivyokaa, hakuna jinsi mtu unavyoweza kulitetea hata kidogo, nilitamani sana kwamba nije hapa niseme kwamba uamuzi wangu mimi ni huu, lakini haikuwezekana," alisema Pinda na kuongeza: "Kwa dhati kabisa naomba wabunge tuwe na subira, mara tu mheshimiwa Rais atakapotua South Africa (Afrika Kusini) jioni ya leo (jana), nitamuarifu na ninaamini tutaelewana kuhusu hatua za kuchukua."


LAKINI KUHUSU BLANDINA NYONI, PINDA HUYO HUYO ANASEMA "Nimeamua kuwasimamisha kazi Katibu Mkuu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu wa Serikali, ili kuweza kupisha uchunguzi maana hizi tuhuma zinafedhehesha taifa

Kwanini maamuzi kama hayo hakuyachukua kwa Jairo? Kwani Jairo hakudhalilisha Taifa? Hapa kuna vitu viwili niwekwe wazi, UPENDELEO AU KUONEANA?



Kwa kutumia mfano huu wa Pinda kwa Jairo tunapata wasiwasi wa kutumia uongozi wa kudessa. Tukumbuke hata baraza la mitihani limewafutia wanafunzi zaidi ya 3,000 matokeo yao ya mitihani kwa kudessa darsani. Ninapata shaka hata walimu na baraza la mtihani wamewahukumu hawa vijana bila idhini ya wazazi wao. Sasa tutambue Pinda anakotupeleka ni wapi na tunategemea nini kutoka kwenye ofisi yake iliyopewa mamlaka. Ninawasiwasi hata yeye anamadhambi ndio maana anajificha nyuma ya mbuyu.
 
David Jairo Sex: M (Heavy Duty, don't touch)

Blandina Nyoni Sex F: (Mzee keshamalizana naye, TIMUA)

Bado hamuoni tofauti?

tofauti ni......Jairo....ana bahati ya mbwa kupendwa na wazungu......
Nyoni.......bahati ya bundi kupendwa na wachawi.....
Tafakari.......
 
Wadau mi nilikua kwenye kikao,alichosema pinda ni kuwa alimuagiza katibu mkuu wake peniel lyimo ambaye ndo anamsaidia katibu mkuu kiongozi amuondoe nyoni pale wizarani
 
Wana JF nielezeni ni mamlaka yapi Pinda alihitaji ili kumshughulikia aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya nishati na madini David Jairo, na kwanini alikosa mamlaka hayo akasema anamsubiri Rais. Pinda akasema "
Pinda alisema alikuwa akisubiri Rais Jakaya Kikwete afike Afrika ya Kusini alikokwenda katika ziara ya kiserikali ili aweze "kumshtaki" Katibu Mkuu huyo kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. Pinda alisema hawezi kuchukua hatua dhidi ya Jairo kwani kwa mujibu wa sheria, mamlaka ya uteuzi ndiyo inayoweza kuchukulia hatua dhidi yake.

"Kwa jinsi jambo hili lilivyokaa, hakuna jinsi mtu unavyoweza kulitetea hata kidogo, nilitamani sana kwamba nije hapa niseme kwamba uamuzi wangu mimi ni huu, lakini haikuwezekana," alisema Pinda na kuongeza: "Kwa dhati kabisa naomba wabunge tuwe na subira, mara tu mheshimiwa Rais atakapotua South Africa (Afrika Kusini) jioni ya leo (jana), nitamuarifu na ninaamini tutaelewana kuhusu hatua za kuchukua."


LAKINI KUHUSU BLANDINA NYONI, PINDA HUYO HUYO ANASEMA “Nimeamua kuwasimamisha kazi Katibu Mkuu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu wa Serikali, ili kuweza kupisha uchunguzi maana hizi tuhuma zinafedhehesha taifa

Kwanini maamuzi kama hayo hakuyachukua kwa Jairo? Kwani Jairo hakudhalilisha Taifa? Hapa kuna vitu viwili niwekwe wazi, UPENDELEO AU KUONEANA?



Mkuu kwani wewe ni mgeni kwa viongozi wa Tz? Wanakuwa na wasiwasi wa kumwa boga ili na wao mambo yao yasijemwagwa hadharani kwa kifupi naweza kusema wamekaa kulindana lindana na kujifanya hawajui wajibu wao
 
Nakumbuka rais akiwa safarini Pinda alishindwa kumuwajibisha Jairo, Leo hii Rais yupo nje ya nchi nasikia Pinda kamuwajibisha Blandina Nyoni. Hivi Jairo na Nyoni wanatofautiana nini? kama wapo sawa Pinda katoa wapi mamlaka ya kumuwajibisha Nyoni? Najaribu kutafakari kabla sijamdharau kabisa Pinda.

Umefikiria mbali, inawezekana wameshauriana na Mkuu wa nchi akampa ruhusa aendelee na zoezi maana kipindi kile Mkuu hakuwepo nchini na isingekuwa rahisi achukue maamuzi moja kwa moja. Kumbuka Pinda na Nyoni ni wateule wa Rais haiwezekani amfute kazi bila hadidu rejea za aliyemteua hasa kwa kuwa heshima ya PM ilianza kuporomoka kwa kasi baada ya kutoa kauli ya kibabe dhidi ya madaktari.:poa
 
Nakumbuka rais akiwa safarini Pinda alishindwa kumuwajibisha Jairo, Leo hii Rais yupo nje ya nchi nasikia Pinda kamuwajibisha Blandina Nyoni. Hivi Jairo na Nyoni wanatofautiana nini? kama wapo sawa Pinda katoa wapi mamlaka ya kumuwajibisha Nyoni? Najaribu kutafakari kabla sijamdharau kabisa Pinda.
kwa mujibu wa kanuni 35 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003 hana mamlaka hayo. Kanuni 35 (1) imempa katibu mkuu kiongozi mamlaka hayo na kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma na 8 ya 20 02 ndie amepewa mamlaka na Rais. Kilichokosekana pale bungeni na sasa ni uelewa wa sheria na kanuni hizo. Kwa haki kabisa blandina anaweza kukata rufaa akashinda kama mamlaka ya kumsimamisha kazi ni pm
 
Wadau Jf,
Kwa nia njema kabisa hebu niondoleeni SINTOFAHAMU, ama UTATA katika hili.
Mh. Pinda Mizengo, kama wote tulivyoona kawaadabisha kwa kuwasimamisha kazi viongozi wawili wa wizara ya Afya akiwemo katibu mkuu wizara hiyo Blandina Nyoni.
Rejea sakata la D. Jairo ilipofikia Pinda huyuhuyu kusema angekua anao uwezo wa kumuadabisha angefanya hivyo, lakini akadai kwa rank ya Jairo (katibu mkuu wizara iko juu ya uwezo wake)
Sasa Nyoni wadhifa wake na Jairo tofauti yake iko wapi ?
Na hata wakati anamsimamisha Nyoni hakusema namsimamisha (kwa niaba ya Jeikei ? )
alikosaje uwezo kwa Jairo, kwa Nyoni awenao ?
Wadau hii imekaaje ?
Hima mnizibue maskio !
 
Wadau Jf,
Kwa nia njema kabisa hebu niondoleeni SINTOFAHAMU, ama UTATA katika hili.
Mh. Pinda Mizengo, kama wote tulivyoona kawaadabisha kwa kuwasimamisha kazi viongozi wawili wa wizara ya Afya akiwemo katibu mkuu wizara hiyo Blandina Nyoni.
Rejea sakata la D. Jairo ilipofikia Pinda huyuhuyu kusema angekua anao uwezo wa kumuadabisha angefanya hivyo, lakini akadai kwa rank ya Jairo (katibu mkuu wizara iko juu ya uwezo wake)
Sasa Nyoni wadhifa wake na Jairo tofauti yake iko wapi ?
Na hata wakati anamsimamisha Nyoni hakusema namsimamisha (kwa niaba ya Jeikei ? )
alikosaje uwezo kwa Jairo, kwa Nyoni awenao ?
Wadau hii imekaaje ?
Hima mnizibue maskio !
Katika siasa kila kitu kinawezekana
 
Wadau Jf,
Kwa nia njema kabisa hebu niondoleeni SINTOFAHAMU, ama UTATA katika hili.
Mh. Pinda Mizengo, kama wote tulivyoona kawaadabisha kwa kuwasimamisha kazi viongozi wawili wa wizara ya Afya akiwemo katibu mkuu wizara hiyo Blandina Nyoni.
Rejea sakata la D. Jairo ilipofikia Pinda huyuhuyu kusema angekua anao uwezo wa kumuadabisha angefanya hivyo, lakini akadai kwa rank ya Jairo (katibu mkuu wizara iko juu ya uwezo wake)
Sasa Nyoni wadhifa wake na Jairo tofauti yake iko wapi ?
Na hata wakati anamsimamisha Nyoni hakusema namsimamisha (kwa niaba ya Jeikei ? )
alikosaje uwezo kwa Jairo, kwa Nyoni awenao ?
Wadau hii imekaaje ?
Hima mnizibue maskio !

yalekea huyu mama kakataa kuwagawia "K" yake..................maana hata bosi wa Pinda aliwahi kudiriki kusema ya kuwa ukitaka ule lazima uliwe.........................huyu mama yaelekea ni jasiri kakataa kuliwa na hawa wanamagamba.................kwahiyo zamu ya kumshughulikia imewadia.......
 
Back
Top Bottom