Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Miongoni mwa maamuzi ''magumu'' anayosema Pinda ni pamoja na kuanzisha shule za kata na pia kwamba ilikuwa uamuzi mgumu sana kuvunja baraza la mawaziri wakati PM Lowassa alipojiuzuru.
Pinda bana!
Pinda bana!