SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Na bado, atakapoamua kujibu mapigo Lowasa, magamba yatatawanyika vipandevipande!
Mkuu ile kipande ya senkyu siioni ningekugongea. Umenikuna si haba! Senkyu bai ze wei.Hapo kwenye red: wabunge wengi wa ccm walitumia muda wao wakati wa kujadili bajeti ya office ya waziri mkuu kwa kuishambulia CHADEMA na mipasho! Wakati wa hitimisho ndio wanashtuka na kuanza kutoa hoja za wananchi! huku ni kupoteza muda.
Duh! Mkuu nimekukubali jinsi ulivyoiweka.Uko bungeni nini? Coz niko na hicho kitabu hapa yani umeweka maelezo kama ilivyo.Hongera Mkuu kwa jitahada za kuwa na data na kuzirusha fasta!Suala hilo lipo kwenye kitabu cha serikali cha matumizi volume II. VOTE 25 ofisi ya waziri mkuu ,chini ya kifungu kinachoitwa programme 10 adminstration and General kifungu kidogo cha 230100 ambacho kimeandikwa "routine maintanance and repair of roads and bridges" na zimetengwa shilingi milioni mbili za kitanzania .
mkuu we ni mhe.diwani au?
Hapo ndipo umuhimu wa Lowassa kugoma kutoka peke yake wakati ule unaonekana. Makosa yalifanywa na Baraza la Mawaziri, akajifanya shujaa kumlinda swahiba wake! Angegoma si Serikali ingeanguka na tungekuwa na watu kibao "behind bars"?Mkuu, mi naona usanii plus plus tu hapo!Pinda naona kamtolea uvivu...
Hakika Mkuu, "wanatuzeveza" tu hao!..uamuzi mgumu ni kama Raisi kwenda kuwapigia kampeni mafisadi...ni uamuzi mgumu lakini usiokuwa na maslahi kwa nchi.