Hii ni kweli kabisa. Lowassa ndiye aliyekuwa na ujasiri wa kufanya maamuzi magumu. Lakini tunakumbuka pia wahenga walisema 'kwa jasiri huenda kilio' maana ndiye anayethubutu kuchukua mkuki kupambana na adui, jambo linaloweza kumsababishia madhara. Na 'kunguru mwoga hukimbiza ubawa wake'. Nadhani mnaona 'mtoto wa mkulima' anavyokimbiza ubawa hapo. Mnakumbuka alivyotoa machozi kipindi kile? Kwa hili la ujasiri na kuthubutu kupata results, hakuna kama Lowassa hadi sasa, na Magufuli.Pinda ni waziri mkuu ambaye hana maamuzi yyt yale magumu,huwezi linganisha Lowassa na Pinda