asiamwandu
Member
- Apr 22, 2011
- 11
- 1
Jamani, hiyo posho inawashangaza nini ? Tangu ukoloni ipo cha ajbu hapo nini ?
mmmh Watz bana!kwa hiyo hata kama ipo iachwe tu kwani hujui ni 50 yrs after colonial domination?mi nashangaa kwanini zipo !Pia unataka kutuaminisha kuwa kitu hata kama madhara yake yako wazi tuendelee nacho tu kisa kilikuwepo tangu ukoloni,shame on you!Hata kama utasema zipo kisheria,basi hiyo shereia ni ya kibaguzi hivyo inatakiwa kuwa nullified kwani inakwenda kinyume na katiba yetu ya 1977,ebu tuwe waungwana,hivi sheria ipo kwa ajili ya kutuumiza wananchi?kama vp ibadilishwe ili iendane na mazingira ya leo.Jamani, hiyo posho inawashangaza nini ? Tangu ukoloni ipo cha ajbu hapo nini ?
Resignation ni kutoa taarifa kuelezea nia na sababu ya kufanya maamuzi hayo na mwajiri hawezi kukulazimisha ubaki kwenye post yako but anaweza kukushawishi au kukusihi uendelee,kukubali au kukataa ni hiyari yamwajiriwa. Kwa case ya EL ni yeye mwenyewe ndie alichukua maamuzi magumu ya kujiuzulu na si JK wala serikali kwa kuwa hatukusikia kikao chochote cha baraza la mawaziri kilichofanyika kumtaka EL ajiuzulu. Suala la kuvunja baraza la mawaziri baada ya EL kujiuzulu si kwamba JK alifanya maamuzi magumu bali alikuwa anatekeleza constitutional requirement pindi inapotokea waziri mkuu anatoka madarakani kwa sababu husika, hayo si maamuzi magumu wala hana haja ya kutafakari, kujiuliza n.k because it's just written there in the constitution!Jee, angekataa "resignation" ya Lowassa?
nimeisikia lakini ana base sana kwenye takwimu kama kwenye suala la TAKUKURU, kiukweli hawa jamaa wako dhaifu sana na naona anawatetea
usisubiri watu wengine waanzishe mapambano,hata wewe unaweza kuongoza mapinduzi.Acha fobia!Vilaza ni sisi tunaishindwa kufanya maamuzi magumu ya kuwafukuza hawa watu kwenye uongozi, huyu pinda kama ni dawa tayari keshapatiwa za kutosha sasa anangoja nini huku hana analofanya ni mbumbumbu na mshamba mkubwa, hana hata hadhi yakuwa waziri mkuu. Tatizo tunaongea mno ndio maana tunawapa kiburi wanajua hatuna guts za kufanya maamuzi magumu na kuyatekeleza. I can not wait for the day shujaa yoyote yule atakapoweza kutuongoza maandamano ya kuwafukuza hawa nchini kwetu wakatafute nchi nyingine maana kwa huu uhaini waliotufanyia hawafai hata kuwafunga maisha. Waondolewe