kama Jk amefanya mambo makubwa ya nini kubadili baraza la mawaziri mara ya tano tangu aingie madarakani kwa ushindi wa utata.
na kwenye chama chake ameishabadil secrtaraiti mara ngapi? mambo hayaendi,
na akibadil baraza la mawaziri likashindwa tena kuperforme mtamfanyaje??,
na je? uongozi wa katibu mkuu kinana ukishindwa kuiua CDM kama anavyojigamba, mtaunda secretariti nyingine??,
maana kuna dalili za kushindwa kwa kila mbinu ovu mnayo i plan, kwa kuwasaidia niwaambie kinawafanya mshindwe kuenesha nchi si mawaziri au waziri mkuu ni haya yafuatayo
1. RAISI DHAIFU
2,KATIBA MBOVU ISIYO KIDHI MATAKWA YA NYAKATI
3 RUSHWA AMABAYO IMEWAWEKA MADARAKANI VIONGOZI
4. BIASHARA YA MIHADARATI INAYUMBISHA SERIKALI AMBAYO NDUGU WA KARIBU WA WATAWALA WANAHUSIKA
5. BIASHARA YA MENO YA TEMBO AMBAYO KINANA ANAHUSIKA
6.UKOSEFU WA MAADILI YA UONGOZI, MFANO. KAPUYA, NCHEMBA, NAPE,
7. MITANDAO NDANI YA CHAMA FITNA NA MAJINGU YA CHINI CHINI,
CCM 2015 BYE BYE
na kwenye chama chake ameishabadil secrtaraiti mara ngapi? mambo hayaendi,
na akibadil baraza la mawaziri likashindwa tena kuperforme mtamfanyaje??,
na je? uongozi wa katibu mkuu kinana ukishindwa kuiua CDM kama anavyojigamba, mtaunda secretariti nyingine??,
maana kuna dalili za kushindwa kwa kila mbinu ovu mnayo i plan, kwa kuwasaidia niwaambie kinawafanya mshindwe kuenesha nchi si mawaziri au waziri mkuu ni haya yafuatayo
1. RAISI DHAIFU
2,KATIBA MBOVU ISIYO KIDHI MATAKWA YA NYAKATI
3 RUSHWA AMABAYO IMEWAWEKA MADARAKANI VIONGOZI
4. BIASHARA YA MIHADARATI INAYUMBISHA SERIKALI AMBAYO NDUGU WA KARIBU WA WATAWALA WANAHUSIKA
5. BIASHARA YA MENO YA TEMBO AMBAYO KINANA ANAHUSIKA
6.UKOSEFU WA MAADILI YA UONGOZI, MFANO. KAPUYA, NCHEMBA, NAPE,
7. MITANDAO NDANI YA CHAMA FITNA NA MAJINGU YA CHINI CHINI,
CCM 2015 BYE BYE
Mpaka leo hakuna Rais yeyote wa kabla ya Kikwete abae amefanya hata nusu ya aliyoyafanya Kikwete kwa muda mfupi.
Umeme wakati Kikwete anachukuwa madaraka =10% ya Tanzania nzima. hii ni pamoja na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Mwingereza na Mjerumani, piga hesabu miaka yao yote. Kikwete miaka 8 ameweza kufikisha 21% yaani zaidi ya mara mbili ya wote hao kwa miaka yao yote hiyo. Na ifikapo 2015 itakuwa 30% kwa miradi iliyopo sasa hivi.
Ukimaliza kusoma hayo, niambie nikuletee ya barabara, mashule, vyuo vikuu, afya.
