FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
sayansi ipi??? We bimkubwa... Ya jk?? Au..?
Mpaka leo hakuna Rais yeyote wa kabla ya Kikwete abae amefanya hata nusu ya aliyoyafanya Kikwete kwa muda mfupi.
Umeme wakati Kikwete anachukuwa madaraka =10% ya Tanzania nzima. hii ni pamoja na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Mwingereza na Mjerumani, piga hesabu miaka yao yote. Kikwete miaka 8 ameweza kufikisha 21% yaani zaidi ya mara mbili ya wote hao kwa miaka yao yote hiyo. Na ifikapo 2015 itakuwa 30% kwa miradi iliyopo sasa hivi.
Ukimaliza kusoma hayo, niambie nikuletee ya barabara, mashule, vyuo vikuu, afya.