Bob Lee Swagger
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 1,362
- 519
Mpaka leo hakuna Rais yeyote wa kabla ya Kikwete abae amefanya hata nusu ya aliyoyafanya Kikwete kwa muda mfupi.
Umeme wakati Kikwete anachukuwa madaraka =10% ya Tanzania nzima. hii ni pamoja na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Mwingereza na Mjerumani, piga hesabu miaka yao yote. Kikwete miaka 8 ameweza kufikisha 21% yaani zaidi ya mara mbili ya wote hao kwa miaka yao yote hiyo. Na ifikapo 2015 itakuwa 30% kwa miradi iliyopo sasa hivi.
Ukimaliza kusoma hayo, niambie nikuletee ya barabara, mashule, vyuo vikuu, afya.
Mapenzi ni kama upofu!!