Tatizo ni zaidi ya overloading. Tatizo ni viwango vya barabara zetu. Ujenzi wa Highways ni tofauti na ujenzi wa barabara za mitaani ambazo zina viwango vya magazi yasiyo zidi tani 5-10. La msingi hapa ni kuhakikisha wakandarasi wanachaguliwa wenye viwango vya hali ya juu katika ujenzi wa barabara zetu. lakini pia, wanainchi tuko wapi? iweje tukubari kupewa barabara chini ya kiwango? Na huyo waziri au mwakirishi wake anapokwenda kufanya ufunguzi wa hizo barabara, huwa wanajua wanachokubali kukipokea? Ndugu wa Tanzania wenzangu. Tufike maali tutambue kuwa, pesa inayoutumika katika ujenzi wa barabara hizi ni zetu walipa kodi. Basi, kama haturiziki na viwango, tusikubali hizi barabara zifunguliwe na sisi tukiangalia tuu. WATANZANI TUACHE KUONGEA BILA VITENDO. TUACHE KULALAMIKA WAKATI KATIBA INATUPA HAKI YA KUFANYA CITIZEN ARREST...
Usimamizi wa sheri Tanzania ni msamiati, Dr.Magugfuli alijaribu kusimamia sheria kuhusu kuzidisha uzito akashambuliwa sasa tizama barabara zinanvyotoboka..
Nakumbuka huyu jamaa maamuzi yake mengi yalitenguliwa na PM wake (Pinda), ni kama alkwa speed gavana yake. Sasa kama yeye ndiyo atakuwa kinara sijui itakuwaje. Ila akitaka apite kirahisi, atangaze kurudisha nyumba za serikali ili ionekane haikuwa ridhaa yake, la sivyo tutamuhoji sana kuhusu hili jambo.
Jana nilimuonea huruma sana Pinda! Alikuwa kama mtu aliyemwagiwa maji ya baridi pale mbele. Hata kusoma ile report ya serikali ni kama alikuwa amelazimishwa.
Kweli Kikwete hatabiriki, hivi unawezaje ukakata jina la PM wako? hata kwenye tano bora asiingie. Hili limeweka rekodi katika nchi yetu, haijawahi kutokea.
Tuliona Mwinyi alimpitisha PM wake John Malecela 1995. Mkapa alimpitisha PM wake Sumaye 2005. Lakini mwanaume Kikwete amewakata ma-PM wake wote aliofanya kazi nao i.e Lowassa na Pinda.