S Seif al Islam JF-Expert Member Nov 14, 2011 2,156 638 Nov 24, 2014 #61 wataenda makanisa yote na misikiti yote hata kuzima waende.watanzania wameamka
Gor JF-Expert Member May 27, 2014 2,791 847 Nov 24, 2014 #64 Mwizi,mtu ambaye kwa kijwa chake anasema wananchi wapigwe tu!yaani utawala wa sheria ziiiiiii.......anapeweje heshima hizo!watz!
Mwizi,mtu ambaye kwa kijwa chake anasema wananchi wapigwe tu!yaani utawala wa sheria ziiiiiii.......anapeweje heshima hizo!watz!
Bangsweezy JF-Expert Member Jan 6, 2014 873 193 Nov 24, 2014 #65 naona kanisa sikuizi limekua kivuli cha uovu wao wanasiasa
N Ngwananzengo JF-Expert Member Jul 28, 2012 1,911 1,312 Nov 24, 2014 #66 Samahani sijui kiingereza lau ningekuwa najua ningesema, ''Too late to apologiese''
K Kisendi JF-Expert Member Jan 29, 2009 699 178 Nov 24, 2014 #67 Watanzanzia sasa inabd tuwe macho yawezekana kuna baadhi yao ni mafisadi
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Nov 24, 2014 #68 Hivi Pinda haumwi Tezidume? But he looks sero +ve!
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,020 Jun 20, 2017 #70 Huyu naye ni wa kupokonywa zile asali
tamuuuuu JF-Expert Member Mar 10, 2014 19,945 25,168 Jun 20, 2017 #71 Siku yule Jamaa walosema asijadiliwe anaongea na wazee wa Dar nikiikumbuka nashangaa sana. Hakika nawaambia Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
Siku yule Jamaa walosema asijadiliwe anaongea na wazee wa Dar nikiikumbuka nashangaa sana. Hakika nawaambia Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana