New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,426
- 2,651
kwa jinsi wabongo tunavomanisha neno mchina...hata boxer ni mchina tena zaid...Acha matusi, utasema hata boxer ni mchina.
kwa jinsi wabongo tunavomanisha neno mchina...hata boxer ni mchina tena zaid...Acha matusi, utasema hata boxer ni mchina.
izo pikipik mnazosema orignal haziwez ubavu wa pikipik za kichina kama hauamin jaribu..mi nna experience na tuktuk...watu tunabeba debe had 12 za viaz mzigo ambao honda haitapanda mlima...nimecheka lakini pia nimesikitika sana kusoma hii post ..... yaani ina maana nyumba nyingi za tembe na udongo zisizo na hata choo ambazo ndizo nyingi Tanzania ndiyo ubora Wa maisha? .....
teh teh teh ... kazi kweli kweli
kama hutu walitusifia zamani lakin kwa mchina habari ingineMkuu mi ninayo Honda CT 110,nahitaji spears zake kama carburator,oil filters,plugs etc naweza kuzipata hapo ofisini kwenu?
Ni hii hapa namaanisha![]()
tatizo spokeHONDA ACE CB 125 MPYA ZIMERUDI. WADAU WA HONDA TUWASILIANE AU TEMBELEA DUKA LETU LA MSASANI.
View attachment 327420
View attachment 327419
View attachment 327421
Kwani zina shida gani?tatizo spoke
sawa kama kwako unaona tairi la spoke haikufai si unaweza kutoa spoke ukaweka rim ya boxer au za china??? una modify tu.tatizo spoke
Ndugu naomba nikupe shukrani za dhati kwa maelezo yako na namna ulivyofikisha ujumbe kwa wateja (Watanzania). Mimi niliingia chaka kwa kununua pikipiki mbili aina ya LML CRD 100 pale kwa Bin Mussa mtaa wa Mfereji wa Wima Zanzibar mwaka 2008. Ni nzuri na hazitumii mafuta mengi lakini huyu jamaa alivyo wa ajabu hana spea hata moja zaidi ya helmet!! Nilimletea baba na mimi lkn ninavyoongea na wewe zote nimepaki kwa kukosa Cabulator, kick rod na spea zingine. Niloshafika kama mara mbili kipindi natembelea huko lkn ukifika anakushauri uweke injini ya pikipiki za kichina!! Takutafuta siku nikija Tz maana Honda wako vizuri.Habari wadau wa biashara, napenda kuwatangazia Kwa wale wanunuzi wa piki piki, Tunazo piki piki za Honda kutoka Quality Motors ltd. Mnaweza kutembelea na kuziona kwenye showroom ya Msasani karibu na Hospitali CCBRT, Msasani. Piki Piki za Honda ni mpya na imara kabisa, na vile vile zina fahamika sana kwa wadau wetu.
Aina za piki piki ambazo tunazo ni kama ifuatavyo;
1. Honda CG 110 - Bei ni mil.1.9 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
2. Honda Ace 125 cbd- Bei ni mil. 2.8 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
3. Honda TUF 125- Bei ni mil.3.4 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
kwa mawasiliano zaidi fika showroom yetu ya Honda, Eneo la Msasani. Au piga simu 0717 518359. Barua pepe- jonelias6@gmail.com
Honda Spare parts zipo tunauza hapo hapo ofisini. Karibuni wateja wetu.
Inafaa kwa boda2?Honda cg 110 mkuu.
View attachment 351993
Inafaa vizuri sana na wapo wadau wengi tu nimewauzia hizo CG 110, wanazitumia kwa bodaboda na imewaletea faida. Njoo ofisini kwetu msasani kucheki pikipiki mwenyewe au nipigie simu 0717518359.Inafaa kwa boda2?
Nikja Dar nitakuja tuongee vizur angalau niwe nalipa kidogokidogoInafaa vizuri sana na wapo wadau wengi tu nimewauzia hizo CG 110, wanazitumia kwa bodaboda na imewaletea faida. Njoo ofisini kwetu msasani kucheki pikipiki mwenyewe au nipigie simu 0717518359.
sawa mkuu ungenitumia namba yako ni save.Nikja Dar nitakuja tuongee vizur angalau niwe nalipa kidogokidogo
Kupanda itapanda, tena zaidi ya huo mchina wako, ila honda suspension yake ni laini, haikukusudiwa kubeba hiyo miviazi yote. Ukinunua kitu hebu soma manual yake kwanza. Gari ya salon unataka ubebee mawe na kokoto?Nunua pikap.izo pikipik mnazosema orignal haziwez ubavu wa pikipik za kichina kama hauamin jaribu..mi nna experience na tuktuk...watu tunabeba debe had 12 za viaz mzigo ambao honda haitapanda mlima...
Honda TUF 125 ni kickstarter. kwa Piki piki ya Honda yenye engine ya 125 cc inauwezo wa kutembea mpaka KM 160 au mpaka KM 220 bila kupumzika. zaidi ya hapo utachemsha na kuunguza engine . Honda za engine kubwa kama 200cc mpaka 250 cc hizo zinaweza kutembea umbali mrefu zaidi ya hapo.
Dar mpaka Songea ni umbali wa KM 1000. kwa piki piki ya 125 cc haitaweza safari hio. ni bora upakize piki piki kwenye lori usafirishe ipelekwe huko. Sidhani kama kuna dereva ambaye atakubali kuendesha umbali mrefu wa KM 1000 na piki piki.
kama picha nilizotuma hujaziona basi nipe namba yako ya whatsapp nikutumie. Asante.
Nina Honda nx250 nishawahi kui post humu kuwa naiuza Mashine hiyo nliinunua Denmark IPO mpaka sahvi ...bado naiuza ntafutie mteja