Pikipiki za honda zinauzwa

Pikipiki za honda zinauzwa

kiukwel honda ni piki piki nzur sana leo nilikuwa kwa fund piki piki piki nkakuta moja honda 110 za shamba zile inachongewa plagi , mweny piki piki ni mzee mmoja hv ikabd nimuulze maswal , nkamuuliza mzee hi ulinunua mpya au akasema used tena ikiwa na miaka mitano wa kwnza kununua alinunua 1985 yeye akachukua kwake 1990 mpaka sasa ipo na inapiga mzgo wakat huo nilikuwa na toyo akaniambia vijana sa hv naona mnatembelea mfano wa pikipik , kiukwel sina budi kujichanga had ifike 2.8m nichukue honda
 
uwez zid 125 kph ukiwa na boxer unless umebadil rear sprocket
ndugu. inamaanisha sprocket iliyopo ni kubwa sana. Na je ukiibadili ukaweka ndogo haita athiri nguvu ya pikipiki especially katika kupanda milima?
na Je kitaalamu inakubalika au ni uhuni?
uploadfromtaptalk1463372539524.jpg
 
Ipi Bora? mi nitakwambia Honda cg 110 ni bora kuliko boxer150. kwasababu;

Honda CG110, Sifa yake ya kwanza ni engine yake ni cc 110, ni nyepesi. Inatembea spidi mita 120 kwa saa. Honda cg 110 inakimbia kwa mwendo wa wastani. Ina mngurumo wa chini yaani silencer yake ipo chini Ina carrier ya kubebea mizigo isiopungua kilo 120. wadau wengi wamependa Honda cg 110 kwenye ulaji wake wa mafuta ni mdogo kuliko pikipiki zingine. inaweza kutembea km 70 kwa lita. kwahiyo kwa bajeti iko vizuri. kwa matengenezo yake utasahau gharama kwa maana spare zake kuisha inachukua miaka 2 mpaka mitatu ndio ubadilishe spare.

Kwa Boxer 150, ina engine cc 150 kwahiyo ni kubwa na nzito. hata kwenye ulaji wake wa mafuta ni mkubwa inatembea km 40 kwa lita. watu wanachopendea boxer 150 ni kwamba ina spidi na ina mwendo wa hatari kuliko piki piki zingine. na vile vile ina carrier kubwa ya kubebea mizigo mizito. tatizo la boxer ni kwamba gharama za kuitunza. ukinunua boxer mpya baada ya miezi mitatu utaanza kubadilisha gasket, mara spocket mara hiki nk. kwahiyo utajikuta unaingia gharama za kwa mara kwa mara kwenye boxer. lakini pamoja na hayo bado wapo wabongo wengi ambao hawajali hasara kwasababu wanaziona boxer zipo nyingi mtaani basi wanakua hawajui effect zake baadaye. kwahiyo shekhe nimeshakujibu hapo.

Mkuu maelezo yako kuhusu boxer 150 yana uongo. Boxer na honda pikipiki isiyo na kelele ni boxer vile vile ulaji wake wa mafuta ni mdogo, inaenda hadi km 60 per 1lt na sio 40 kama ulivyosema, na sio kweli kwamba boxer baada ya miezi mitatu tu tangu ununue inaanza kusumbua, kwa taarifa yako tu boxer inakaa hata mwaka na zaidi bila kuharibika. Sifa ya honda kuizidi boxer ni uimara tu.
 
ymollel kubadil sprocket hakuna shda pia kitaalam inaruhusiwa ndo mana unakuta baadh ya pik pik mfano honda xr kwa nch flan zilikuwa na rear sprocket size flan na sehem nyingne size flan. japo kubadil kunapunguza acceleration mfano boxer orijino itumie 6sec kufika 60kph ukibadil itatumia mda mwing kdogo it depend faida yake itakuwa kweny mafuta na top speed kuwa kubwa pia injin kudumu sababu itakuwa haizunguki sana , kabla ya kubadil ni vzur kuchek overall gear ratio mfano kwa boxer primary reduction ni 3.57;1 , final reduction nikimaanisha mnyororo unapoanzia had mwish kweny tair kale ka sprocket kadogo jana 14teeth cha nyuma 43teeth ratio ya 3.071 ambayo ni kubwa sana ukizingatia na nguvu ilionayo so ukija zidisha hzo ratio hapo juu na kwa ratio za gia husika mfano 3.57*3.071* 2.88 unapata 31.5 ;1 WHIch mean mizunguko 31 ya injin ndo mmoja wa tair , gia ya pil mizunguko 19 ndo mmoja wa tair , gep la gia ya kwnza na ya pil kubwa sana so ukibadil sprocket angalia ratio icje fikia gia ya pil itakuwa sawa....
 
Mkuu maelezo yako kuhusu boxer 150 yana uongo. Boxer na honda pikipiki isiyo na kelele ni boxer vile vile ulaji wake wa mafuta ni mdogo, inaenda hadi km 60 per 1lt na sio 40 kama ulivyosema, na sio kweli kwamba boxer baada ya miezi mitatu tu tangu ununue inaanza kusumbua, kwa taarifa yako tu boxer inakaa hata mwaka na zaidi bila kuharibika. Sifa ya honda kuizidi boxer ni uimara tu.
sawa mkuu, nilijua watu wa boxer lazima mtatokea kupinga comment zangu na ndio maana sikutaka kucomment sana kuhusu sifa za pikipiki zingine. lakini kwa sababu ya wadau wengi wananiuliza uimara kati ya honda na boxer. na mimi lazima nitetee Honda ni bora na ina maisha marefu hio bila ubishi wadau wanafahamu na sitaki kuelezea sana kuhusu boxer kwasababu binafsi niliwahi kuwa na boxer na ninakumbuka uzuri na ubaya wake.
 
sawa mkuu, nilijua watu wa boxer lazima mtatokea kupinga comment zangu na ndio maana sikutaka kucomment sana kuhusu sifa za pikipiki zingine. lakini kwa sababu ya wadau wengi wananiuliza uimara kati ya honda na boxer. na mimi lazima nitetee Honda ni bora na ina maisha marefu hio bila ubishi wadau wanafahamu na sitaki kuelezea sana kuhusu boxer kwasababu binafsi niliwahi kuwa na boxer na ninakumbuka uzuri na ubaya wake.
Boxer ni pikipiki za kisasa na hadi sasa kuna matoleo mawili tu kama sijakosea, zipo boxer BM 125 na BM 150 hivyo siwezi kukubali kwamba Honda za kisasa ambazo zinafanana bei na boxer pamoja na model take ni imara kuliko boxer, si sahihi kulinganisha kampuni ya Honda na kampuni ya boxer ambayo ni mpya na pikipiki zake hazina muda mrefu tangu ziingie nchini.
 
Boxer ni pikipiki za kisasa na hadi sasa kuna matoleo mawili tu kama sijakosea, zipo boxer BM 125 na BM 150 hivyo siwezi kukubali kwamba Honda za kisasa ambazo zinafanana bei na boxer pamoja na model take ni imara kuliko boxer, si sahihi kulinganisha kampuni ya Honda na kampuni ya boxer ambayo ni mpya na pikipiki zake hazina muda mrefu tangu ziingie nchini.
kuna boxer bm 100 kickstarter, bm 150 na bm 250
 
Honda 250 cc,hizo hamna kwa sasa. huwa zinakuja kwa oda maalum. kama mteja ambaye anahitaji tumwagizie kutoka nje basi tunampigia hesabu ya gharama na bei ya pikipiki. analipia kisha anasubiri mzigo wake.
honda cbx twister inakuja kwa tsh ngapi???
 
Back
Top Bottom