Pikipiki za honda zinauzwa

Pikipiki za honda zinauzwa

mkuu picha hizo hapo nimekutumia. Bei yake ni kubwa kutokana na quality yake na ubora wake ni mkubwa pamoja na uwezo wa kutembea bara bara zote za rough road na uwezo wa kubeba mizigo mizito. wadau wanaoifahamu wanaita piki piki ya shamba. Engine yake tu ni mkataba wa miaka 5 na zaidi. Bei yake mbona sio ya kutisha.
Hivi unafahamu kwamba kuna piki piki za Honda za miliion saba mpaka million kumi na tano. Nenda vile vile kampuni ya Yamaha kaulize Bei za piki piki zao.

Yamaha office zao ziko wapi!?
 
Tofauti kubwa ni nini? stata ml 3.5, kiki na stata ml 2.8? Ipi bora zaid mbona bei zimepishana sana?
zote ni bora mkuu. utofauti ni kama unavyoona kwamba moja ina stata na nyingine haina stata na kitu kingine ni kwamba ukinunua honda ace cbd ambayo ina stata utapewa boksi ya spea na kofia moja bure, pamoja na usajili wa kadi tunakufanyia. karibu ofisini msasani.
 
HONDA TUF 125 MIL 4. ELECTRIC STARTER IMEBAKI MOJA TU STOCK.

tuf 3.jpg
 
cg 110 ni vile tulizoea kuita mkulima. huwa inawekwa jembe ati inalima! ndio hiyo 1.7 mkuu! kapicha tafadhali
 
Back
Top Bottom