- Thread starter
- #301
hizo hatuna mkuu kwa sasa.Mkuu mie natafuta zile wanaziita moper au scooter yenye 49 cc
Bei yake ikoje??
hizo hatuna mkuu kwa sasa.Mkuu mie natafuta zile wanaziita moper au scooter yenye 49 cc
Bei yake ikoje??
Sawaa mkuuhizo hatuna mkuu kwa sasa.
Dealer, kuna honda flani hv n za kitambo kidogo zna bomba mbili za kutolea moshi, muundo wake n km trailer flan sema hizo seat na tank la mafuta vpo flat, zna mlio km wa chopper flan hv, unaikumbuka hyo model.......??sisi ni wakala wa piki piki za Honda tu. Kama unahitaji piki piki ya fekon nenda kampuni ya fekon ofisi zao zipo kariakoo ,kituo cha bakhressa. Piki piki za sunlg wanasambaza kishen enterprises ofisi zao zipo buguruni mwananchi au nenda kwa mawakala wao wapo wengi kariakoo na mnazimmoja.
chukuaMkuu nna Honda cb 125 ina matatizo so nilikuwa naomba kama unafaham fund mzuri unionganishe nae 0655241234 na engine yake mnauza bei gan
hizi hapa anaitwa asaria- 0753-637696. au 0684-837696.Mkuu nna Honda cb 125 ina matatizo so nilikuwa naomba kama unafaham fund mzuri unionganishe nae 0655241234 na engine yake mnauza bei gan
Dealer, kuna honda flani hv n za kitambo kidogo zna bomba mbili za kutolea moshi, muundo wake n km trailer flan sema hizo seat na tank la mafuta vpo flat, zna mlio km wa chopper flan hv, unaikumbuka hyo model.......??
chukua
hizi hapa anaitwa asaria- 0753-637696. au 0684-837696.
Engine complete ya honda ace 125 inakuwa haijawa assembled. zinauzwa parts zake kwa pamoja kuanzia block, gasket, piston ring, crankshaft, nk fika ofisi yetu ya msasani nikupe listi spea zote za engine.Na Engine yake kama ipo Sh ngap
Engine complete ya honda ace 125 inakuwa haijawa assembled. zinauzwa parts zake kwa pamoja kuanzia block, gasket, piston ring, crankshaft, nk fika ofisi yetu ya msasani nikupe listi spea zote za engine.
250,000Carburetor yake original sh ngap
Nahtaj uniambie ni model gan ile km unaifahamhizo hatuna watafute wafanyabiashara wanaoenda kununua vitu japan wanaweza kukusaidia.