Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,237
- 6,610
Vipi scooter mnazo?
Vipi scooter mnazo?
scooter hawaleti tena bosi. zinaletwa honda ace 125 tu.Vipi scooter mnazo?
hio boxer anakaa pembeni, honda pamoja ni kwamba ni cc 125 ila speed inaenda masafa na inaiacha boxer.Inawezakukimbia na boxer ikamkamata?
hio Mil 2.8 mkuu
Hamia HalotelNiko Shamba huku 3g ni tatizo ivyo sijaona picha . Napenda nijue iyo ya 3.4ml inauwezo kwa kutembea Dar to Songea Direct pasipo lazimika kupumzika? Na ni stater au kiki?
Acha utan mkuu, hujawah kumiliki Honda ndo mana wasema ivoHizo xl za kijapani nazifahamu ni fake ( I mean hazimalizi safari ) yaani ukitembea km 200 zinataka upumzike masaa 3! Ivyo ni tofauti na hizo za kichina ambazo zenyewe in mwendo mdumbo no kupumzika
Mkuu hapo ni Sawa na kuuliza mbona barabarani passo na vits na ist ni nyingi kuliko jeeps na ford[emoji1] [emoji1]We ndiyo ****** kama siyo tahira wa kutupwa kwa akili za kawaida tu Honda na hizo za kichina zipi ziko barabarani zaidi. Katika pikipiki 1000 utakazoziona road 980 ni mchina why! majibu unayo
Anaongelea zile zenye gia tatu bila kuwa na clutch ambazo tank La mafuta lipo chin ya seat ya dereva alafu ina kiti kipanaaaa cha kubebea mizigoMkuu sijajua Honda ipi unauulizia, ila tuna Honda Dream scooter 110 isiyo na clutch ambayo bei yake ni Million 3.1 au kama una maanisha Honda CT 110 hizo tunazo zipo chache kwenye stock bei ni million 7.3.
Sanlg jamaa yangu alitoka Nayo Arusha mpaka kwao iringa kwa kupitia morogoro chalinze .Bila kupumzika.Akatoka nayo iringa mpaka dar.Alafu akarudi nayo arusha ni mashine kubwaMkuu kitu SANLG 125 nilitembea km 424 bila kuipumzisha. Mchina shikamoo.
jokielias izi honda uhimili wake kubeba mizigo upoje?zinafaa kwa shamba na spear upatikanaji wake kwenye maduka mbalimbali
kwa upande wa spea. honda na boxer spea zao ni gharama kama unachukua spea origino.Vipi jamani kati ya spare za boxer na Honda zipi ni gharama zaidi?