njoo ofisi zetu za tazara, kitengo cha spare pale wanauza matenki ya honda cg 110 hata kama zimeisha watakuelekeza sehemu za kununua.Tenk za mafuta za CG 110 zinapatikana hapo kwenu?
ukishapita mataa ya changombe, utakuwa upo barabara ya pugu, utafika jengo la Quality center, kuna service road inendelea mbele fuata hio njia utaona jengo la posta kisha jengo linalofuata garage ya car wash na kufunga matairi hapo hapo ofisi za honda zipo.Tazara sehemu gn?
kaka ndio bei zake hizo. nenda yamaha ndio utashangaa zaidi.Honda xl milllion 7,cc 125???
Okkaka ndio bei zake hizo. nenda yamaha ndio utashangaa zaidi.
Tupia picha ya 200 CTX mkuu.Bei zake ziko juu bosi wangu, Hio inaenda Mil 14 tshs.
Tupia picha ya 200 CTX mkuu.
zipo mkuu. Carburator ya honda xl 125, bei yake ni Mil 1,667,930. zipo katika ofisi yetu ya msasani.mkuu.mnaweza kua na cabreta ya honda xl 125??
Yaani bei ya Carburator peke yake una uwezo wa kupata pikipiki mpya nzimazipo mkuu. Carburator ya honda xl 125, bei yake ni Mil 1,667,930. zipo katika ofisi yetu ya msasani.
Jamaa atakuwa kashazinguana na wahindi so 'anawaharibia.'Yaani bei ya Carburator peke yake una uwezo wa kupata pikipiki mpya nzima