mkuu vipikipiki vile ambavyo havina gear vya wadada mnavyo?????
PoaTulikuwa nazo honda Dream 110 scooter, lakini kwa sasa hatuna tena kwasababu kiwanda kimeacha kutengeneza tena.
Honda engine haziji complete set, kwahiyo inabidi tukupe bei ya part kimoja kimoja kuanzia block, piston, ring, oil seals, cylinder gasket, n.k. njoo ofisini kwa maelezo zaidi au nitafute kwenye simuNi nashida na engene ya hiyo honda bei yake inaendaje?!!
Honda ACE TUFF 125 Kwa hiyo bei unafanya wizimkuu picha hizo hapo nimekutumia. Bei yake ni kubwa kutokana na quality yake na ubora wake ni mkubwa pamoja na uwezo wa kutembea bara bara zote za rough road na uwezo wa kubeba mizigo mizito. wadau wanaoifahamu wanaita piki piki ya shamba. Engine yake tu ni mkataba wa miaka 5 na zaidi. Bei yake mbona sio ya kutisha.
Hivi unafahamu kwamba kuna piki piki za Honda za miliion saba mpaka million kumi na tano. Nenda vile vile kampuni ya Yamaha kaulize Bei za piki piki zao.
Teh Teh kaingilia post yako na mada tofauti kabisa...sawa.
sasa kwanini usije ofisini kuuliza bei za pikipiki mwenyewe kabla hujaposti tuhuma??? hio posti ulioni quote ni ya kitambo sana na nilikuwa namjibu mteja mmoja kuhusu bei ya pikipiki ya Tuff 125 ambayo wakati huo ilikuwa Bei ilikuwa Mil 3.4 kwasasa bei imeshapanda imekuwa Mil 3.5. hizi bei zimewekwa na uongozi wa kampuni. Quality Motors LtdHonda ACE TUFF 125 Kwa hiyo bei unafanya wizi
Mil 1.9.Tshs
Pikipiki za honda zinatengenezwa na nchi mbali mbali. kwa mfano, kuna viwanda vya Honda vipo china, india, malaysia, thailand, dubai, Brazil, marekani, Denmark, UK, na sehemu zingine.hizo Honda ni mhindi si mjapani.
tunazo xl hapa ofisini.