Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 664
- 334
Nipo mkoa kiongozi nikipata contact nitafurahi ili nicommunicate!kwa matukutuku wa kariakoo umefika??? kama umekosa huko njoo ofisi zetu za pugu road karibu na TCC.
Nipo mkoa kiongozi nikipata contact nitafurahi ili nicommunicate!kwa matukutuku wa kariakoo umefika??? kama umekosa huko njoo ofisi zetu za pugu road karibu na TCC.
0689866100Nipo mkoa kiongozi nikipata contact nitafurahi ili nicommunicate!
honda cg 110 kibao cha mbuzi hii hapa imebaki moja, bei mil 1.6. ipo msasani tu hamna sehemu nyingine tena. mteja serious aje ofisini au simu 0717518359. wahi sasa kabla haijauzwa
View attachment 466896
Hizi honda ace cbd bei gani kwa sasa?
Teh teh tehkweli wewe division5,kwa akili yako ya kamasi unaona wingi wa bidhaa fulani ndio ubora wake,hivi simu ya techno na iPhone ipi ni simu bora zaidi?
Hahahahanimecheka lakini pia nimesikitika sana kusoma hii post ..... yaani ina maana nyumba nyingi za tembe na udongo zisizo na hata choo ambazo ndizo nyingi Tanzania ndiyo ubora Wa maisha? .....
teh teh teh ... kazi kweli kweli
Side mirrors mnauzaje? Nilivunja taa ya mbele pia nataman kujua bei yake tafadhali...
honda cg 110 kibao cha mbuzi hii hapa imebaki moja, bei mil 1.6. ipo msasani tu hamna sehemu nyingine tena. mteja serious aje ofisini au simu 0717518359. wahi sasa kabla haijauzwa
View attachment 466896
0784 821973Honda TUF 125 ni kickstarter. kwa Piki piki ya Honda yenye engine ya 125 cc inauwezo wa kutembea mpaka KM 160 au mpaka KM 220 bila kupumzika. zaidi ya hapo utachemsha na kuunguza engine . Honda za engine kubwa kama 200cc mpaka 250 cc hizo zinaweza kutembea umbali mrefu zaidi ya hapo.
Dar mpaka Songea ni umbali wa KM 1000. kwa piki piki ya 125 cc haitaweza safari hio. ni bora upakize piki piki kwenye lori usafirishe ipelekwe huko. Sidhani kama kuna dereva ambaye atakubali kuendesha umbali mrefu wa KM 1000 na piki piki.
kama picha nilizotuma hujaziona basi nipe namba yako ya whatsapp nikutumie. Asante.
Dah hizo pikipiki sijajua menejiment ya kampuni wana mpango wa kuagiza tena lini, tusubiri tuHivi zile honda za hivi zilikwenda wapi? Si zilikuwa ngumu hizi.na zilikuwa zinakula mzigo
nimekutumia picha whatsapp0784 821973