Pigo la Mwisho kwa Hillary Clinton

Pigo la Mwisho kwa Hillary Clinton

Najiuliza kama FBI wakikuta kwamba kweli alituma nyaraka za siri kwenye barua pepe binafsi uchaguzi utaendelea kweli?
Halafu kwa hali ya Mashariki ya kati ilivyo kweli kutakuwa na ahueni chini ya utawala wa huyu mama?
Niliwaambia mapema pro Hillary and Democratic kwamba hizi kashfa dhidi ya trump nyingine huibuliwa na wanaomtaka Trump. Niliwaambia pigo kubwa kabisa kwenye kambi ya Hillary linakuja kutokea dakika za mwisho kabisa na nikawaonya kuwa Wikiliks na Snowden ni projects zilizoandaliwa kitambo sana kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa kifupi uchaguzi wa mwaka huu si wa kumrithi Obama tu, Bali Marekani wanafanya transitioning kubwa ya power kutoka hawa elites wa zama hizi kwa ajili ya Ku reform America na Ku review american interests kama bado zipo valid kuwa American Interests.
Ni mageuko hayo tumeshuhudia kwa mara ya kwanza rais wa Marekani aki side na mgombea mmoja....hats wale wanaofaidika na interest za Sasa wakiungana pamoja si kumpinga Trump tumuanaye Bali anacho kiwakirisha Trump.
America inaingia kwenye transitioning kubwa sana, na ili kufanikiwa italazimika kuuachia 'ugalme' ili wakajipange.
 
Mbali na huyu mama Hillary Clinton kushambuliwa na Wiki-leaks kuhusiana na barua pepe; Donald Trump kuhusiana na rushwa; FBI kuanzisha tena uchunguzi wa barua pepe, ya leo kali na imetoka Israeli. Mwandishi wa habari mwenye asili ya kiyahudi Eli Chomsky amsema kwamba alitunza maongezi aliyofanya na Hillary Clinton mwaka 2006.

Kwenye maongezi hayo Hillary anasikika akisema kwamba anashangaa kwanini Marekani haijaingilia uchaguzi wa bunge la nchi ya Palestina. Zaidi zaidi anasema kwamba Marekani ingeifanya juu chini kumfanya nani ashinde na nani asishinde. Kwa maana nyingine alikuwa anauliza kwanini nchi ya Marekani haijachakachua matokeo ya nchi nyingine ya watu.

Hili linatuleta kwenye ule usemi wa Donald Trump kwamba huu uchaguzi umechakachuliwa.
Hata kama Hillary aliongea kwa kutoa tu maoni yake basi hii imekula kwake na imemchafua sana. Kwa namna moja au nyingine inaonyesha kwamba Hillary Clinton hataki amani na haki ya Wapalestina kuhusu haki yao ya utaifa ifanikiwe. Kwa maana ya pili tena hata ule uvumi wa Wiki-leaks unaosema kwamba Podesta na viongozi wengine walimhujumu Bernie Sanders ili Hillary apitishwe unaanza kuthibitika.

Kibaya ziadi ni kwamba video ilifichwa kwa zaidi ya miaka 10 na wanahabari hao waliambiwa na serikali ya Israeli wasichapishe hicho alichokisema. Kwa bahati mbaya sana leo wameivujisha hewani na inazunguka kwenye mitandao na vyombo vya habari vikubwa kuanzia RT, Observer, Foxnews n.k Hillary hata kama atashinda uraisi basi atakuwa na wakati mgumu sana kuliko raisi yoyote yule tangu Skandali ya Watergate. Sidhani kama mgogoro wa Mashariki ya kati utatengamaa, wale waarabu hawawezi msikiliza huyu mama.


Sauti ipo kwenye Link ya Observer: 2006 Audio Emerges of Hillary Clinton Proposing Rigging Palestine Election

Link: 2006 Audio Emerges Of Hillary Clinton Proposing Rigging Palestine Election

Link: Clinton bemoans US not rigging 2006 Palestinian election in newly-released tape
Hata Obama naamini ipo siku atakuja kusoma Hillary Hakufaa.
 
Ila nachokiona ni kutaka kuamsha watu waliolala muda mrefu...hii kashfa inayoiburiwa kwa sasa sitaki kuamini kama huyu mama atapigwa chini maana wote wanacheza mchezo wa kuviziana...

We already counting the day down..
 
Niliwaambia mapema pro Hillary and Democratic kwamba hizi kashfa dhidi ya trump nyingine huibuliwa na wanaomtaka Trump. Niliwaambia pigo kubwa kabisa kwenye kambi ya Hillary linakuja kutokea dakika za mwisho kabisa na nikawaonya kuwa Wikiliks na Snowden ni projects zilizoandaliwa kitambo sana kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa kifupi uchaguzi wa mwaka huu si wa kumrithi Obama tu, Bali Marekani wanafanya transitioning kubwa ya power kutoka hawa elites wa zama hizi kwa ajili ya Ku reform America na Ku review american interests kama bado zipo valid kuwa American Interests.
Ni mageuko hayo tumeshuhudia kwa mara ya kwanza rais wa Marekani aki side na mgombea mmoja....hats wale wanaofaidika na interest za Sasa wakiungana pamoja si kumpinga Trump tumuanaye Bali anacho kiwakirisha Trump.
America inaingia kwenye transitioning kubwa sana, na ili kufanikiwa italazimika kuuachia 'ugalme' ili wakajipange.

Mkuu unahisi Wamarekani wanaweza kuwashinda wakina George Soros , Feinstein, Bernanke na wengine?
Nakuhakikishia wataiharibu Marekani kama walivyofanya Ujerumani na wataiacha kapa hadi Trump alisema hili.
Wananufaika sana na kuinyonya Marekani ya watu na wanaogopa sana watu kama Trump wakiingia.
 
That is just hyping and nothing will change, uchaguzi umeshafanyika na hakuna mtu atabadili vote yake kwa ajiri ya bogus emails investigation...come Nov 8th Hillary Clinton will be President elect of the United States
 
Niliwaambia mapema pro Hillary and Democratic kwamba hizi kashfa dhidi ya trump nyingine huibuliwa na wanaomtaka Trump. Niliwaambia pigo kubwa kabisa kwenye kambi ya Hillary linakuja kutokea dakika za mwisho kabisa na nikawaonya kuwa Wikiliks na Snowden ni projects zilizoandaliwa kitambo sana kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu.
Kwa kifupi uchaguzi wa mwaka huu si wa kumrithi Obama tu, Bali Marekani wanafanya transitioning kubwa ya power kutoka hawa elites wa zama hizi kwa ajili ya Ku reform America na Ku review american interests kama bado zipo valid kuwa American Interests.
Ni mageuko hayo tumeshuhudia kwa mara ya kwanza rais wa Marekani aki side na mgombea mmoja....hats wale wanaofaidika na interest za Sasa wakiungana pamoja si kumpinga Trump tumuanaye Bali anacho kiwakirisha Trump.
America inaingia kwenye transitioning kubwa sana, na ili kufanikiwa italazimika kuuachia 'ugalme' ili wakajipange.
Acha porojo za vijiweni wewe
 
Unadhani US ni kama bongo...wenzetu dakika kubwa hawakawii kubadilika...this game is not over...tusubiri hadi last point

Na hasa kama mmoja atadondoka kwenye 'stage' kwa uchovu...mchezo utakuwa umekwisha....kambi ya Hillary inalijua hilo na wako makini kuhakikisha kuwa hilo halitokei...duh, kazi kweli kweli....
 
Mbali na huyu mama Hillary Clinton kushambuliwa na Wiki-leaks kuhusiana na barua pepe; Donald Trump kuhusiana na rushwa; FBI kuanzisha tena uchunguzi wa barua pepe, ya leo kali na imetoka Israeli. Mwandishi wa habari mwenye asili ya kiyahudi Eli Chomsky amsema kwamba alitunza maongezi aliyofanya na Hillary Clinton mwaka 2006.

Kwenye maongezi hayo Hillary anasikika akisema kwamba anashangaa kwanini Marekani haijaingilia uchaguzi wa bunge la nchi ya Palestina. Zaidi zaidi anasema kwamba Marekani ingeifanya juu chini kumfanya nani ashinde na nani asishinde. Kwa maana nyingine alikuwa anauliza kwanini nchi ya Marekani haijachakachua matokeo ya nchi nyingine ya watu.

Hili linatuleta kwenye ule usemi wa Donald Trump kwamba huu uchaguzi umechakachuliwa.
Hata kama Hillary aliongea kwa kutoa tu maoni yake basi hii imekula kwake na imemchafua sana. Kwa namna moja au nyingine inaonyesha kwamba Hillary Clinton hataki amani na haki ya Wapalestina kuhusu haki yao ya utaifa ifanikiwe. Kwa maana ya pili tena hata ule uvumi wa Wiki-leaks unaosema kwamba Podesta na viongozi wengine walimhujumu Bernie Sanders ili Hillary apitishwe unaanza kuthibitika.

Kibaya ziadi ni kwamba video ilifichwa kwa zaidi ya miaka 10 na wanahabari hao waliambiwa na serikali ya Israeli wasichapishe hicho alichokisema. Kwa bahati mbaya sana leo wameivujisha hewani na inazunguka kwenye mitandao na vyombo vya habari vikubwa kuanzia RT, Observer, Foxnews n.k Hillary hata kama atashinda uraisi basi atakuwa na wakati mgumu sana kuliko raisi yoyote yule tangu Skandali ya Watergate. Sidhani kama mgogoro wa Mashariki ya kati utatengamaa, wale waarabu hawawezi msikiliza huyu mama.


Sauti ipo kwenye Link ya Observer: 2006 Audio Emerges of Hillary Clinton Proposing Rigging Palestine Election

Link: 2006 Audio Emerges Of Hillary Clinton Proposing Rigging Palestine Election

Link: Clinton bemoans US not rigging 2006 Palestinian election in newly-released tape
Umenena vema Malcom Lumumba; hongera sana kwa kurejesha avatar yako asili, safi sana.
 
Akipona akatambike hilaly,
kumekutwa email za hilaly kwenye laptop ya Anthony wiener,mwanacongress aliyejiuzuru kwa kashifa ya ngono,
katika newyork,Russian foreign intelligence(SVR) Walikuwa na wametega mtandao wa kuwanasa wanasiasa wa marekani kwa kutumia vyangudoa ili kuwaiba siri,inaitwa honeytrap,sasa huyu Anthony wiener ,FBI wanahisi kuwa alikuwa kanaswa na hawa majasusi wa SVR.
Juzi mkurugenzi wa FBI akampigia simu Putin,na kumwuliza kwa mkato kama Athony ni double,putin kamjibu akiashiria kuwa ,"wewe wasema"
connection ya hillaly clinton na Anthony wiener ni kuwa mke wa anthony,aitwae Hume Abedin ni top aide wa hilaly.
So swali,email za clinton zimefikaje katika laptop ya Anthony,
je anthony ni double agent,kwamba siri zimevuja na kuwafikia warusi.,kama ni kweli hilaly atakuwa hafai kuendelea kugombea,hiyo ndo sababu ya FBI kufungua upya uchunguzi,


ukitaka uisome kiundani nenda
whatdoesitmean.com
 
Back
Top Bottom