Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
Mambo yaendaje huko!!!Hi broda!
Mambo yaendaje huko!!!Hi broda!
Kwema kabisa.Mambo yaendaje huko!!!
Mkuu heshima yako, watu wengi wanaishia kushangilia kauli za Trump na Ubabe wake, hawataki kuenda mbali ili kujua Clinton na Trump wanawakilisha nini na nani kwa manufaa gani. Hawajui kuwa ni Vita kubwa sana inayopiganwa nyuma yao. Pamoja na weakness zote za wagombea lakini no matter what bado wafuasi wao wako nyuma yao. Mfano Trump na kashfa ya wakina mama, Hata alipomuita Clinton nasty woman bado supporter wake wako nyuma yake.Nionapo siyo uonapo, naona uonapo. Endelea na habari zako, ila jifunze kwa wenzako, usiishie kuwafahamu Clinton na Trump kwa sura zao.
Nafurahi kusikia hivyoKwema kabisa.
Daaah basi Mimi niliweka picha yangu ya kuchorwa nkajua watu hawatilii maanani sana.Sana, hasa wakisha Ku mark wanakua wamekujengea image yao, Sasa unapoibadirisha inachukuliwa kama vile umebadiri wajihi...hapo hata wakisoma comments zako wanakua kama dots hazi connect
Yani hapo Mkuu kila nikajiuliza huyu mama kuhusu mashariki ya kati sipati jibu kabisa.Najiuliza kama FBI wakikuta kwamba kweli alituma nyaraka za siri kwenye barua pepe binafsi uchaguzi utaendelea kweli?
Halafu kwa hali ya Mashariki ya kati ilivyo kweli kutakuwa na ahueni chini ya utawala wa huyu mama?
Ni kweli Mkuu, sababu kuna vitu vyakujifunzaHivi kumbe watu wanazipa Avatar uzito mkubwa hivyo?
Eleza porojo kivipiAcha porojo za vijiweni wewe
No chance....Hillary will win this in landslideTrump kasema kuwa tumeshinda na kuongoza hata kabla ya hii kashfa ya Clinton kutokea,
magumashi ya kupewa maswali ya interview kabla ya siku kufika mpaka America yapo, Democratic mwaka huu wameumbuka kweli kwa siasa zao chafu kumpa urais mgombea wao
Akamatwe kwa mpango gani? hii michezo ya Benghazi na email wanaosikiliza ni Republicans tuu maana ndio namna iliyobaki kutafutia kuraKama hilaly hatakamatwa,uwezekano wa kushinda ni mkubwa,japoi nilitaka Trump awin
Kumbe hata Marekani akina Hashim Rungwe wapo !!!!View attachment 425873
Hawa ABC siku ya jumatatu walisema Trump yupo nyuma 12 points.... Ijumaa wakasema 4 points
Hapo hapo katika sample data wanasema democrats walikuwa +9 zaidi ya republican...