Kuna baadhi ya masuala na namna wanavyowasilisha taarifa zao sikubaliani nao lakini kukataa kwangu kusiwakilishe kuwa sikubaliani nao asilimia mia.
Mleta mada, tafadhari kuwa dhana moja ambayo unadhani tunaweza kuitumia kuongoza mchakato wako, wasiliana na Spiderman atasaidia, hii ni mada nzuri sana
utakua umetumwa na watu wafuatao kama si !1, CHAMA CHA DEMOCRASIA MACHAME-CHADEMA.
AU takua yule aliyetimuliwa anataka ku winn sympathy ya wananchi ili arudishwe maana amepotezwa mbaya
AU atakua yule Mangi tycoon wa Kichaga takwimu Znaonyesha sikuhizi IT...imekaa kichaga sana na kupoteza watazamaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.