Piga kura kuhusiana na TBC

Piga kura kuhusiana na TBC

utakua umetumwa na watu wafuatao kama si !1, CHAMA CHA DEMOCRASIA MACHAME-CHADEMA.
AU takua yule aliyetimuliwa anataka ku winn sympathy ya wananchi ili arudishwe maana amepotezwa mbaya
AU atakua yule Mangi tycoon wa Kichaga takwimu Znaonyesha sikuhizi IT...imekaa kichaga sana na kupoteza watazamaj
i

Usitafute wa kumtupia lawama, jirekebisheni..
 
kimsingi napiga kura ya "NO" halafu natoa angalizo hata zile za "YES" nazo zisomeke "NO" wakati wa kuhesabu kura.
 
NOOOOOOOOOOOO
sitaki hata kuisikia
ifanywe kuwa ya umma
 
utakua umetumwa na watu wafuatao kama si !1, CHAMA CHA DEMOCRASIA MACHAME-CHADEMA.
AU takua yule aliyetimuliwa anataka ku winn sympathy ya wananchi ili arudishwe maana amepotezwa mbaya
AU atakua yule Mangi tycoon wa Kichaga takwimu Znaonyesha sikuhizi IT...imekaa kichaga sana na kupoteza watazamaj
i

kifupi hamkubaliki tena nyie Tbc,ata ukimuuliza mtoto mdogo atakuambia tofauti na enzi za Tido.
 
Mimi sijakuelewa No or Yes kuhusu TBC katika jambo lipi? utendaji, uongonzi, ubora wa mitambo yao?....be specific my Dear....
 
Back
Top Bottom