utakua umetumwa na watu wafuatao kama si !1, chama cha democrasia machame-chadema.
au takua yule aliyetimuliwa anataka ku winn sympathy ya wananchi ili arudishwe maana amepotezwa mbaya
au atakua yule mangi tycoon wa kichaga takwimu znaonyesha sikuhizi it...imekaa kichaga sana na kupoteza watazamaji
Sina imani nayo hata kidogoKama bado unaimani na Tbc reply neno YES kama huna imani na Tbc reply neno NO matokeo yatatolewa hapahapa jf
Mimi sijakuelewa No or Yes kuhusu TBC katika jambo lipi? utendaji, uongonzi, ubora wa mitambo yao?....be specific my Dear....