Pierre atabaki kileleni! Bash boy ni zero ya kutokomeza

Pierre atabaki kileleni! Bash boy ni zero ya kutokomeza

Link sina mkuu, ila kumbukumbu zinaniambia ulishaandika. Labda nimekufananisha.
Hapana nimecheki kwenye library yangu sina labda pengine nilichangia tuu kaka

Jr[emoji769]
 
Bashite hana sense of humor, mbuzi wa sikukuu tunasubiria tuu siku ifike ale shoka(atumbuliwe) na watu wooote tusherehekee...
 
Mimi sishangai Pierre Likwidi wala Bashite, nawashangaa watanzania, kweli tumefika hatua hii?
Hii ndiyo habari sio?
 
Mimi sishangai Pierre Likwidi wala Bashite, nawashangaa watanzania, kweli tumefika hatua hii?
Hii ndiyo habari sio?
Habari muhimu zinafichwa na kuminywa... Hizi ndio zinapewa airtime.. Hakuna namna... We are within the circle.. Let's dance the rhythm.....!!!

Jr[emoji769]
 
Kimsingi tabia ya kushabikia "zaidi" mambo ya kitoto watanzania tunaongoza, na hii ni hatari sana. Pierre kama PIERRE Hana KOSA LOLOTE ANATUMIA fursa na ndo mana tunasema EDUCATION IS WHAT REMAINS AFTER EDUCATION, ie After school be it formal oder informell.
Makonda alikosea sana kutaja jina la mtu, angetoa ujumbe tu kuwa muhimu watanzania tufuatilie zaidi mambo ya msingi, na burudani ichukue pia nafasi yake. Kumdhalilisha mtu mzima tena ambaye amealikwa ni kukosa uungwana kabisa. LAKINI UKWELI utabaki kuwa watz tubadilike na we mwandishi msisitizo wako umekaa kiumbeya. Unaona "Half Empty Cup anstatt Half Full Cup". Tunatakiwa kuvuka ile hatua ya kuona mada kwa kiwango cha urefu wa PUA ZETU.
Reaction ya wananchi wa kawaida mitandaoni, kwenye vijiwe vya kahawa na story za kawaida mitandaoni.... Koleza na reaction ya viongozi mbalimbali mitandaoni baada ya makonda kumuita Pierre mtu wa hovyohovyo imetupa picha moja kubwa sana CHUKI ya wazi kabisa....

Akiwa na muda wa kujitafakari anaweza kujirudi na kuanza upya... Tunaweza kubeza reaction ya watu wengine wa kawaida lakini sio ya viongozi wenzake... Baada ya tukio lile hawa wamefanya yafuatayo
. Mkuu wa wilaya ya KISARAWE alimuomba radhi Pierre
. Waziri wa utalii akaandika post ndefu kuonesha Pierre hakuwa tatizo na hakutendewa haki
. Spika kamualika bungeni na wakapiga wote picha
. Waziri mkuu kamuahidi tiketi ya ndege kwenda Misri na Taifa stars
Naamini hawa ni kiwakilishi cha wengi ambao hawajatoa yao ya moyoni
Ghafla Pierre kageuka kuwa shujaa dhidi ya bashite... Yani ni kama kamzaba vibao vya kelebu kushoto na kulia...
Pierre aliyedhihakiwa kawa shujaa, bashite kabaki na aibu.... Na amejionea jinsi anavyochukiwa mpaka na viongozi wenzake.... Ajitafakari... Asiye akawa ni SIFURI inayosubiri kutokomezwa, kichokoo kikiwa Pierre

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi tabia ya kushabikia "zaidi" mambo ya kitoto watanzania tunaongoza, na hii ni hatari sana. Pierre kama PIERRE Hana KOSA LOLOTE ANATUMIA fursa na ndo mana tunasema EDUCATION IS WHAT REMAINS AFTER EDUCATION, ie After school be it formal oder informell.
Makonda alikosea sana kutaja jina la mtu, angetoa ujumbe tu kuwa muhimu watanzania tufuatilie zaidi mambo ya msingi, na burudani ichukue pia nafasi yake. Kumdhalilisha mtu mzima tena ambaye amealikwa ni kukosa uungwana kabisa. LAKINI UKWELI utabaki kuwa watz tubadilike na we mwandishi msisitizo wako umekaa kiumbeya. Unaona "Half Empty Cup anstatt Half Full Cup". Tunatakiwa kuvuka ile hatua ya kuona mada kwa kiwango cha urefu wa PUA ZETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa mchango na kijembe cha umbea mmbea mwenzangu
 
[emoji482][emoji481][emoji574][emoji146]
IMG-20190405-WA0029.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom