Hakika.Jiwe walilolikataa Wahashi Sasa imekuwa jiwe................
[emoji23][emoji23][emoji23]picha yake na Ndugai ni kama ndugu kabisametizama picha ya Pierre vs Majaliwa....mebaki nachekaa...namwona anamsikiliza kwa makini mweshimiwa waziri mkuu...Bia za kule zitamkomaaa...na vyombo vya habari vya kimataifa vitamrusha live
Reaction ya wananchi wa kawaida mitandaoni, kwenye vijiwe vya kahawa na story za kawaida mitandaoni.... Koleza na reaction ya viongozi mbalimbali mitandaoni baada ya makonda kumuita Pierre mtu wa hovyohovyo imetupa picha moja kubwa sana CHUKI ya wazi kabisa....
Akiwa na muda wa kujitafakari anaweza kujirudi na kuanza upya... Tunaweza kubeza reaction ya watu wengine wa kawaida lakini sio ya viongozi wenzake... Baada ya tukio lile hawa wamefanya yafuatayo
. Mkuu wa wilaya ya KISARAWE alimuomba radhi Pierre
. Waziri wa utalii akaandika post ndefu kuonesha Pierre hakuwa tatizo na hakutendewa haki
. Spika kamualika bungeni na wakapiga wote picha
. Waziri mkuu kamuahidi tiketi ya ndege kwenda Misri na Taifa stars
Naamini hawa ni kiwakilishi cha wengi ambao hawajatoa yao ya moyoni
Ghafla Pierre kageuka kuwa shujaa dhidi ya bashite... Yani ni kama kamzaba vibao vya kelebu kushoto na kulia...
Pierre aliyedhihakiwa kawa shujaa, bashite kabaki na aibu.... Na amejionea jinsi anavyochukiwa mpaka na viongozi wenzake.... Ajitafakari... Asiye akawa ni SIFURI inayosubiri kutokomezwa, kichokoo kikiwa Pierre
Jr[emoji769]
Hili liko wazi kabisa... Juzi nilikuwa napitia nyuzi za Dr shika... Aisee mambo ni mengi muda mchacheIsije ikawa Pierre wa watu anatumika tu kwa faida ya mafahali wawili wenye chuki, kisha mwisho wakamdamp kama toilet paper, wanasiasa si watu, upendo wanaomwonyesha wa kinafki tu wakamilishe matakwa yao muda huu. Pierre kuwa makini mwisho wasijekuona mlevi tu. Hii ndo bongo hata Kikwete ilifika mahali akaonekana wa hovyo tu
Atumie huuu wakati vizuri.Isije ikawa Pierre wa watu anatumika tu kwa faida ya mafahali wawili wenye chuki, kisha mwisho wakamdamp kama toilet paper, wanasiasa si watu, upendo wanaomwonyesha wa kinafki tu wakamilishe matakwa yao muda huu. Pierre kuwa makini mwisho wasijekuona mlevi tu. Hii ndo bongo hata Kikwete ilifika mahali akaonekana wa hovyo tu
Hili liko wazi kabisa... Juzi nilikuwa napitia nyuzi za Dr shika... Aisee mambo ni mengi muda mchache
Jr[emoji769]
Atumie huuu wakati vizuri.
Mkuu sio wewe ulieweka thread ya kwanza hapa jf kuhusu huyu Pierre? Thread yenyewe ilikuwa na mlengo kama wa RC....sio wewe?Reaction ya wananchi wa kawaida mitandaoni, kwenye vijiwe vya kahawa na story za kawaida mitandaoni.... Koleza na reaction ya viongozi mbalimbali mitandaoni baada ya makonda kumuita Pierre mtu wa hovyohovyo imetupa picha moja kubwa sana CHUKI ya wazi kabisa....
Akiwa na muda wa kujitafakari anaweza kujirudi na kuanza upya... Tunaweza kubeza reaction ya watu wengine wa kawaida lakini sio ya viongozi wenzake... Baada ya tukio lile hawa wamefanya yafuatayo
. Mkuu wa wilaya ya KISARAWE alimuomba radhi Pierre
. Waziri wa utalii akaandika post ndefu kuonesha Pierre hakuwa tatizo na hakutendewa haki
. Spika kamualika bungeni na wakapiga wote picha
. Waziri mkuu kamuahidi tiketi ya ndege kwenda Misri na Taifa stars
Naamini hawa ni kiwakilishi cha wengi ambao hawajatoa yao ya moyoni
Ghafla Pierre kageuka kuwa shujaa dhidi ya bashite... Yani ni kama kamzaba vibao vya kelebu kushoto na kulia...
Pierre aliyedhihakiwa kawa shujaa, bashite kabaki na aibu.... Na amejionea jinsi anavyochukiwa mpaka na viongozi wenzake.... Ajitafakari... Asiye akawa ni SIFURI inayosubiri kutokomezwa, kichokoo kikiwa Pierre
Jr[emoji769]
Mkuu vibao vya kelebu yaani ile ya kulia na kushoto manake unakanywa...ni kama alichooigwa Alhaji Mwinyi pale Diamond Jubilee sema jamaa kwa heshima alimpa kelbu moja tu...Reaction ya wananchi wa kawaida mitandaoni, kwenye vijiwe vya kahawa na story za kawaida mitandaoni.... Koleza na reaction ya viongozi mbalimbali mitandaoni baada ya makonda kumuita Pierre mtu wa hovyohovyo imetupa picha moja kubwa sana CHUKI ya wazi kabisa....
Akiwa na muda wa kujitafakari anaweza kujirudi na kuanza upya... Tunaweza kubeza reaction ya watu wengine wa kawaida lakini sio ya viongozi wenzake... Baada ya tukio lile hawa wamefanya yafuatayo
. Mkuu wa wilaya ya KISARAWE alimuomba radhi Pierre
. Waziri wa utalii akaandika post ndefu kuonesha Pierre hakuwa tatizo na hakutendewa haki
. Spika kamualika bungeni na wakapiga wote picha
. Waziri mkuu kamuahidi tiketi ya ndege kwenda Misri na Taifa stars
Naamini hawa ni kiwakilishi cha wengi ambao hawajatoa yao ya moyoni
Ghafla Pierre kageuka kuwa shujaa dhidi ya bashite... Yani ni kama kamzaba vibao vya kelebu kushoto na kulia...
Pierre aliyedhihakiwa kawa shujaa, bashite kabaki na aibu.... Na amejionea jinsi anavyochukiwa mpaka na viongozi wenzake.... Ajitafakari... Asiye akawa ni SIFURI inayosubiri kutokomezwa, kichokoo kikiwa Pierre
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu vibao vya kelebu yaani ile ya kulia na kushoto manake unakanywa...ni kama alichooigwa Alhaji Mwinyi pale Diamond Jubilee sema jamaa kwa heshima alimpa kelbu moja tu...
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Link sina mkuu, ila kumbukumbu zinaniambia ulishaandika. Labda nimekufananisha.Naomba link tafadhali niliandika moja ikapotea sasa pengine imejipost
Jr[emoji769]